LAZIMA NISEME
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 261
- 296
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Dunianiyaliyofanyika Kitaifa katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete Dodoma tarehe 05 Juni 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akikabidhiwa zawadi ya Tuzo ya Mazingira kwaajili ya Rais wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutambuamchango wake katika uhifadhi mazingira na uhamasishaji wa matumizi yanishati safi ya kupikia Kitaifa na Kimataifa. Tuzo hiyo imetolewa wakati waMaadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyofanyika Kitaifa katika Kituocha Mikutano cha Jakaya Kikwete Dodoma tarehe 05 Juni 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimkabidhi tuzo Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na MichezoMhe. Prof. Palamagamba Kabudi kufuatia mchango wake katika uandishi waSheria ya Mazingira. Tuzo hiyo imetolewa wakati wa Maadhimisho ya Siku yaMazingira Duniani yaliyofanyika Kitaifa katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete Dodoma tarehe 05 Juni 2025