Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Mechi ambayo haijachezwa ni assumption...nothing else, na ndio maana watu wanabet. How old are you, master?Hatujadilo Neno ENDAPO (only assumption) Bali Tunajadili REALITY..
Mechi ambayo haijachezwa ni assumption...nothing else, na ndio maana watu wanabet. How old are you, master?Hatujadilo Neno ENDAPO (only assumption) Bali Tunajadili REALITY..
ECL ndio nini?Unaulizwa Atletico De Madrid Ana Kikombe Gani ECL?
Unajibu Eti Ni Finalist Mara 2....!!!! Huu Ni Mtihani kweli....!!!!
Usijidanganye Hakuna Timu Yoyote Ya La Liga Ukiacha Real na Barca inayoweza Kufurukuta na Kikombe ECL...
Acha uhuni nashabikia Laliga tangu mwaka 1997 we sema huna Dstv na hata mtaani huendi kuziangalia
ECL ndio nini?
Kuhusu Atletico Madrid ni vile kichwa chako umekiengage kubishana lakini hapo kwenye list ungeona wazi mwaka 2010 na 2012 Atletico Madrid ndio bingwa wa Uefa Europa League na 2014 na 2016 Atletico Madrid amecheza final za Uefa Champions League, hatua ambayo hauifikii kwa kuangaliwa sana kwenye TV bali kwa kupiga mpira uwanjani.
Mnabana pua eti La Liga ni ligi ya timu 2, mbona sasa Sevilla na Atletico Madrid wanachuana na wale wale Man U na Chelsea kwenye Europa? Si tuzione basi na timu zingine za EPL?
Najua akili unayo ila unajitoa fahamu kwa aibu. Kumbe unajua kuwa UEL ni Micky Mouse Cup eeeh? Sasa sikia ukweli mchungu....Wewe unamatatizo Kweli!!! Hata Man United last Season amechukua Uefa Europa League lakini hama tunamtumia kama hoja??
Kwasababu Europa League Ni Micky Mouse Cup Mashindano ya Wale failures Wa Champion League!!!
Wewe Unafikiri hawa Waliopo Champio League wangeruhusiwa Kushiriki na Europa Huyo Atletico wako Angebeba Hilo Kombe mbele ya Wanaume??
Hilo Ni Kombe Micky Mouse la wale Walioshindwa Kuendelea Na Champion League...
Tunataka Huku UCL Kwenye Wanaume Wababe Kafanya nini?
Unajuwa mimi nataka nijiamulie mwenyewe kipi bora maana tukianza kufuata wanacho tuambia hichi bora wakati mimi mwenyewe siamini kuwa ni bora hapo ni tatizo. Ni kama vile sikubaliani na FIFA rankinks eti Portugal ya 2 na Spain ya 6 au sijui Switzeland na Poland ni bora kuliko France na Italy. Peru, Chile na Colombia bora kuliko Italy, England halafu nitoke mbele za watu niseme Poland bora Spain. Ni kama kusema hizi status ignoreSasa wewe unazungumzia PERSONAL PREFERENCES ambapo haziwezi kuwa proved kwa namba. Ipo tofauti kati ya LIGI BORA na LIGI YENYE MVUTO ZAIDI.
Ubora unapimwa na DELIVERY ilhali Mvuto unapimwa na ACCEPTANCE.
La Liga ndio Ligi Bora kwa sasa, na hilo linadhihirika kwa ufaulu wa vilabu vyake kwenye michuano ya Ulaya na Dunia.
EPL ndio Ligi yenye Mvuto kwa muda mrefu na hilo linadhihirika kwa mwitikio wa audience.
Sijasema kushiriki, kama ushiriki tu hata Arsenal yangu na Qarabang zinashiriki, nazungumzia kubeba ubingwa.Kwahiyo Zile Man City, Spurs, Liverpool huzioni Ama unajizuzua tu?
Ruksa mbona. Hajazaliwa bado wa kukukataza kuamini kuwa bondia wako ndio bora sababu anashangiliwa zaidi kila anaponyanyuka akiangushwa na makonde mazito ya mpinzani. Lakini mwisho wa siku, regardless ya makofi na vigelegele, mkanda HATAVALISHWA aliyepigwa knock-out. Ndio maana kombe lipo Madrid huku taarab zinaimbwa LondonUnajuwa mimi nataka nijiamulie mwenyewe kipi bora maana tukianza kufuata wanacho tuambia hichi bora wakati mimi mwenyewe siamini kuwa ni bora hapo ni tatizo. Ni kama vile sikubaliani na FIFA rankinks eti Portugal ya 2 na Spain ya 6 au sijui Switzeland na Poland ni bora kuliko France na Italy. Peru, Chile na Colombia bora kuliko Italy, England halafu nitoke mbele za watu niseme Poland bora Spain. Ni kama kusema hizi status ignore
Ahsante kombe likija kwetu taarab itahamia kwenu tena taarab asili.Ruksa mbona. Hajazaliwa bado wa kukukataza kuamini kuwa bondia wako ndio bora sababu anashangiliwa zaidi kila anaponyanyuka akiangushwa na makonde mazito ya mpinzani. Lakini mwisho wa siku, regardless ya makofi na vigelegele, mkanda HATAVALISHWA aliyepigwa knock-out. Ndio maana kombe lipo Madrid huku taarab zinaimbwa London
Haitatokea kamwe kwa kipindi hiki broo....EPL should try Europe ligi..Ahsante kombe likija kwetu taarab itahamia kwenu tena taarab asili.
Kombe sio Mwenge wa Olympic useme litakuja, kombe ukilitaka ni lazima uchukue. Na unachukua kwa kushinda games uwanjani na sio kwa idadi ya TV Subscribers.Ahsante kombe likija kwetu taarab itahamia kwenu tena taarab asili.
Unambie tu website gani niingie naweza kuta hicho kioja unachoongea mzeeNi kweli Real na Barca bora kwa misimu fulani mfululizo sio league bora. kuna tofauti kubwa league bora na team bora.
Ungebandika tu na FIFA kuwa Portugal ni bora kuliko Spain and Switzeland bora kuliko France na Italy. Yaani wewe ukiambiwa tu basi hutumii na akili zako. wao hawana criteria zaidi ya points katika UEFA. Mimi siwaelewi mnalazimisha watu waangalie kitu hawakitaki lazima mkubali watu wako EPL ndiko wana enjoy league ya ushindani mimi hapa siongelei CL. Maana hata CL tano za Real walishindwa wakati wa black and white team zilikuwa zina alikwa kama card ya harusi. changanya na akili zako kidogo acheni copy paste.Unambie tu website gani niingie naweza kuta hicho kioja unachoongea mzeeau epl ligi bora kwa mujibu wako wewe ????