Kile Tulichokisubiri Ni Hichi Hapa Kwa Wale Washabiki Wa EPL

Jamani msichukie, mpira ni furaha na utani ndio raha yenyewe. sisi ni wapenzi wa EPL haina maana nyinyi La liga ndio hamjui. Kuna ukweli mmoja tu hauwezi kubadilika hata hiyo miaka ambayo tulikuwa hatufanyi vizuri CL ila ndio kwanza EPL ikawa unavunja record ya pesa na kuangaliwa na watu wengi duniani. mwaka jana pesa aliyepokea aliyeshuka daraja alichukuwa pesa ndefu kuliko Athletico Madrid. kizuri kina bei yake haiji kwa bahati. tunajuwa kabisa huwezi kununua BMW kwa bei Hyundai.
Kana kwamba unaweza badili ukweli wa kwamba La liga ni ligi bora kuliko Epl kwa misimu kadhaa mfululizo uuuhhhh !!!!!
 
Kuwa timamu na kuamin kwako mkuu hapa ni lazima ujue barcelona cn timu ya kubeza hata siku moja maana chelsea iliyoisumbua barca si hii ya conte ambayo naiona mimi barca atashinda zaid ya tano hutoamini

Halafu Nyinyi Munaipenda Historia Kweli!!!
Basi kama Ni Historia! Hivi Barca iliyosumbuliwa na Chelsea ya Kina Xavi, Puyol, Messi, Iniesta (akiwa Katika ubora wake) na Alaves
utaifananisha na Hii Barcelona yakina Dembele na Umtiti?

Jenga hoja na sio dhana!!!
 
CHELSEA VS BARCELONA
Moja ya mechi ambazo zimeakuwa adimu hasa kwa mashabiki wa chelsea wanatamani sana hii mechi ichezwe ata leo na sio wanachelsea tu wapenda kabumbu wengi wanaitamani sana make hata wao barca washachoshwa na sifa za kutambiana kwenye mitandao wakati huo wana blues wakijua fika kuwa aliyechagua hawa majamaa wa la liga kawapendelea sana ....ni majigambo na uzuri walio wengi tunaamini katika historia hapa mnajua nalenga nini .....kule mfalme wao kucheza mechi 8 bila kuwafunga chelsea ni jambo linalotamaniwa na wengi kuona kipi kitatokea

Mara ya mwisho nakumbuka yule mwenye bahati yake Dimateo aliweza kutumia nguvu kidogo kuwatoa hawa jamaa make tangu jana ni picha za Ramires na Torres ndo zinasambaa kupita maelezo

HUU MSIMU MZURI KWA EPL
 
Tunazungumzia MPIRA hapa, sio PESA
sasa utaangalia league mbovu kwa bei kubwa na league nzuri kwa bei ya bure. hakuna kitu kizuri bei rahisi. La liga wana team 2 kubwa sana ukitoa zile league imekufa. juzi tu Barcelona ilipopiga kura ya kujitenga walisema Barca wakiondoka thamani ya league itashuka kwa 25% value ndio ujue vitu viwili ninaenda pamoja. league nzuri yenye kusisimua na inapendwa duniani kwa kuangaliwa na watu wengi ni EPL na hilo mbona halina ubishi, mitandao si ipo sio kauli yangu. watu wanalipa pesa ndefu DSTV sio sababu ya La liga ni EPL.
 
Tunazungumzia MPIRA hapa, sio PESA
Premier League got the highest tv audience worldwide. Almost 4.1 billion people watched premier league games at their homes at 212 different territories worldwide. Recently there are reports that Bundesliga might take over the or get closer to the EPL audience record. Bundesliga watched by 3 billion peoples and there is huge increase in the tv audience of the league from United States of America.

LA LIGA 3rd Most Watched Football League:
La Liga reached 3rd position in most watched leagues. There are reports that almost 150 million people around the world watch the El-Clasico match. The rivalry among Ronaldo and Messi increase its audience in past few years.
 
sasa utaangalia league mbovu kwa bei kubwa na league nzuri kwa bei ya bure. hakuna kitu kizuri bei rahisi. La liga wana team 2 kubwa sana ukitoa zile league imekufa. juzi tu Barcelona ilipopiga kura ya kujitenga walisema Barca wakiondoka thamani ya league itashuka kwa 25% value ndio ujue vitu viwili ninaenda pamoja. league nzuri yenye kusisimua na inapendwa duniani kwa kuangaliwa na watu wengi ni EPL na hilo mbona halina ubishi, mitandao si ipo sio kauli yangu. watu wanalipa pesa ndefu DSTV sio sababu ya La liga ni EPL.
2015-16 Real Madrid Atlético Madrid 1-1 (5–3)
2014-15 Barcelona Juventus 3-1
2013-14 Real Madrid Atlético Madrid 4-1
2012-13 Bayern Munich Borussia Dortmund 2-1
2011-12 Chelsea Bayern Munich 1-1 (4–3)
2010-11 Barcelona Manchester United 3-1
2009-10 Internazionale Bayern Munich

Tumia kichwa chako kufikiri my dear, kwenda kliniki na maternity gown ya bei kubwa hakukusaidii kuzaa mapacha. Nimekuekea list ya WINNERS na RUNNER UPS kuanzia 2010. Angalia number of entries kati ya La Liga na EPL, hapo ndio kwenye majibu ya nani mkali, maana mpira unachezwa uwanjani na sio DSTV.

La Liga 6 entries
Bundesliga 3 entries
EPL 2 entries na
Serie A 2.

Sasa hizo takwimu zako za DSTV zitaisaidia vipi Chelsea kuifunga Barcelona? Au wewe kwa akili yako kwa kuwa wengi wanaangalia ngono zaidi ya makala za biashara basi kwako ngono is more productive?
 
Zamani Sikuwa Na Muda Wa Kuandika Post Zinazohusu La Liga Coz Bongo Hakukuwa na Washabiki Wa La Liga!
Washabiki Sote Tulikuwa EPL...
Ni Azam TV ndiye Aliyetuletea Washabiki Maandazi Wa La Liga...


So, Naandika Post Hizi Kwa Kuwajibu Wale Wanaoclaim Kuwa Kigenge Chao cha La Liga Ni Ligi bora Wakati Ni Upumbavu tu..
Mpira ni passion,hatukuwa na TV lakini tulijazana kwenye radio na tukastarehe....unahisi kabla ya Azam TV watu walikuwa hawaangalii la LA LIGA?
Hapo ndio umejionesha ni mwaka gani umeanza kufuatilia soka la Ulaya.
 
Kuwa timamu na kuamin kwako mkuu hapa ni lazima ujue barcelona cn timu ya kubeza hata siku moja maana chelsea iliyoisumbua barca si hii ya conte ambayo naiona mimi barca atashinda zaid ya tano hutoamini
Barca yenyewe iliyosumbuliwa na chelsea naona kabaki messi tu
 
Mpira ni passion,hatukuwa na TV lakini tulijazana kwenye radio na tukastarehe....unahisi kabla ya Azam TV watu walikuwa hawaangalii la LA LIGA?
Hapo ndio umejionesha ni mwaka gani umeanza kufuatilia soka la Ulaya.


Acha Uongo Hakuna Radio iliyokuwa ikitangaza Ligi Ya Spain...
Labda iwe unaongelea Juma Mkamia Kutangaza Ligi Kuu Ya Tanzania...

Kabla Ya Azam TV hakuna Ndani ya TZ Hii aliyelipia DSTV Kwa ajili ya La Liga Kwa hilo najiamini Kusimamia Hoja...

Kipindi Hicho Sikuwa na Uelewa Wa Kustream online nilikuwa Nahudhuria Vibanda Umiza nàangalia EPL tu na Ratiba nilikuwa ya EPL na wala Hakukuwa na Ratiba ya La Liga...

Sasa ikiwa umeamua Kunidogosha! Hilo litakuwa Ni Chaguo lako.
 
2015-16 Real Madrid Atlético Madrid 1-1 (5–3)
2014-15 Barcelona Juventus 3-1
2013-14 Real Madrid Atlético Madrid 4-1
2012-13 Bayern Munich Borussia Dortmund 2-1
2011-12 Chelsea Bayern Munich 1-1 (4–3)
2010-11 Barcelona Manchester United 3-1
2009-10 Internazionale Bayern Munich

Tumia kichwa chako kufikiri my dear, kwenda kliniki na maternity gown ya bei kubwa hakukusaidii kuzaa mapacha. Nimekuekea list ya WINNERS na RUNNER UPS kuanzia 2010. Angalia number of entries kati ya La Liga na EPL, hapo ndio kwenye majibu ya nani mkali, maana mpira unachezwa uwanjani na sio DSTV.

La Liga 6 entries
Bundesliga 3 entries
EPL 2 entries na
Serie A 2.

Sasa hizo takwimu zako za DSTV zitaisaidia vipi Chelsea kuifunga Barcelona? Au wewe kwa akili yako kwa kuwa wengi wanaangalia ngono zaidi ya makala za biashara basi kwako ngono is more productive?


By Posting these Shit What are you trying to prove?
Coz Sioni Chochote badala Ya Majivuno Ya Kihistoria hapa! Mimi Nazungumzia Kinachoendelea Sasa Champion League na Wala Sizungumzii Historia iliyokwishapita.
 
By Posting these Shit What are you trying to prove?
Coz Sioni Chochote badala Ya Majivuno Ya Kihistoria hapa! Mimi Nazungumzia Kinachoendelea Sasa Champion League na Wala Sizungumzii Historia iliyokwishapita.
Sisi Mancity tunaokuombea wewe umtoe huyo barca ili na sisi tuchukue kikombe maana sisi hatumuwezi ila wewe tunakuweza. kwahiyo kwenye mechi kati ya Chelsea tupo upande wako nitakuwa na chupa yangu ya maziwa.
 
2015-16 Real Madrid Atlético Madrid 1-1 (5–3)
2014-15 Barcelona Juventus 3-1
2013-14 Real Madrid Atlético Madrid 4-1
2012-13 Bayern Munich Borussia Dortmund 2-1
2011-12 Chelsea Bayern Munich 1-1 (4–3)
2010-11 Barcelona Manchester United 3-1
2009-10 Internazionale Bayern Munich

Tumia kichwa chako kufikiri my dear, kwenda kliniki na maternity gown ya bei kubwa hakukusaidii kuzaa mapacha. Nimekuekea list ya WINNERS na RUNNER UPS kuanzia 2010. Angalia number of entries kati ya La Liga na EPL, hapo ndio kwenye majibu ya nani mkali, maana mpira unachezwa uwanjani na sio DSTV.

La Liga 6 entries
Bundesliga 3 entries
EPL 2 entries na
Serie A 2.

Sasa hizo takwimu zako za DSTV zitaisaidia vipi Chelsea kuifunga Barcelona? Au wewe kwa akili yako kwa kuwa wengi wanaangalia ngono zaidi ya makala za biashara basi kwako ngono is more productive?
Ahsante kwa matusi ya sio moja kwa moja ila hata clinic ukienda mchafu utafukuzwa ukienda gown safi na brand hata kama huna kitu unaweza kupewa huduma first class. turudi kwenye point kwenye league bora na tukisema league bora ni team zote sio majina ya team 2 au 3. hivi duniani wanapima vipi kama film, TV channel and kipindi fulani ni bora duniani au hata mziki bora. wanaangalia kipindi hichi kinatizamwa na watu wa ngapi au film au huko youtube ndio kipimo cha ubora. EPL inatizamwa na watu zaidi ya 4 billion ni zaidi ya mara mbili ya La liga, EPL generate more money zaidi ya Liga mara 3 na ushee. wewe unarudi kule kuwa na team bora mimi naongelea league bora hebu tuone tofauti hapa kwani hatutaki kuelewa. Team bora Spain? Yes La liga bora?NO. La liga ni sawa na kusema Vodafone league yetu bora EA lakini toa Simba na Yanga hata ndondo cup itakuwa bora. La liga ni kama league yetu ya Bongo team 2 running the show. Maaana umeruka Chelsea vs Barca mimi sijaongelea mechi jamani nasema league bora.
 
2015-16 Real Madrid Atlético Madrid 1-1 (5–3)
2014-15 Barcelona Juventus 3-1
2013-14 Real Madrid Atlético Madrid 4-1
2012-13 Bayern Munich Borussia Dortmund 2-1
2011-12 Chelsea Bayern Munich 1-1 (4–3)
2010-11 Barcelona Manchester United 3-1
2009-10 Internazionale Bayern Munich

Tumia kichwa chako kufikiri my dear, kwenda kliniki na maternity gown ya bei kubwa hakukusaidii kuzaa mapacha. Nimekuekea list ya WINNERS na RUNNER UPS kuanzia 2010. Angalia number of entries kati ya La Liga na EPL, hapo ndio kwenye majibu ya nani mkali, maana mpira unachezwa uwanjani na sio DSTV.

La Liga 6 entries
Bundesliga 3 entries
EPL 2 entries na
Serie A 2.

Sasa hizo takwimu zako za DSTV zitaisaidia vipi Chelsea kuifunga Barcelona? Au wewe kwa akili yako kwa kuwa wengi wanaangalia ngono zaidi ya makala za biashara basi kwako ngono is more productive?
Na hapo kwenye ngono mzee umepotea hiyo ni biashara kubwa kuliko viwanda vyote vya TZ na suala la kuwa productive yes huo ni uchumi wa nchi zingine kuliko hivyo viwanda siajabu hata wewe unapitia huko lakini kwani utasema kimyakimya kama unavyoangali Epl kila siku halafu kujifanya uko La liga. unaweza kuwa Laliga sababu ya access Azam na cheaper bidhaa bora lazima ulegeze vyuma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom