Kila ukiamka usisahau kuiombea Nchi yako

Kila ukiamka usisahau kuiombea Nchi yako

UtdProfile_

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2021
Posts
327
Reaction score
421
Unapo amka kila asubuhi muombe mungu pia ainusuru nchi yako na machafuko, na viongozi uchwala, na viongozi wajinga ✍️✍️✍️ Good Morning Guys
 
S
Unapo amka kila asubuhi muombe mungu pia ainusuru nchi yako na machafuko, na viongozi uchwala, na viongozi wajinga ✍️✍️✍️ Good Morning Guys
Stop that nonsense, hakuna cha sala, ni kwenda msituni, sala hazikufikishi popote. CCM sala kwao si kitu. Desmond Tutu , Ndabaning sithole ni makasisi hawakutegemea sala bali mapambano phisically
 
S

Stop that nonsense, hakuna cha sala, ni kwenda msituni, sala hazikufikishi popote. CCM sala kwao si kitu. Desmond Tutu , Ndabaning sithole ni makasisi hawakutegemea sala bali mapambano phisically
Sasa kama unataka tuingie msituni umejiandaa??? Ushawahi fanya ushawishi kwa wananchi ili kila mmoja awe aware?? Au msituni humu humu kwenye mitandao
 
Unapo amka kila asubuhi muombe mungu pia ainusuru nchi yako na machafuko, na viongozi uchwala, na viongozi wajinga ✍️✍️✍️ Good Morning Guys
Kunusuru nchi na machafuko ni kutenda haki tu. Hivi vya kuwatendea watu mabaya alafu mnatuomba tusali kuepusha machafuko ni kutufanya mafala.
 
Sasa kama unataka tuingie msituni umejiandaa??? Ushawahi fanya ushawishi kwa wananchi ili kila mmoja awe aware?? Au msituni humu humu kwenye mitandao
Hii point,kwa Tz hakuna msitu mwingine zaid ya mtandaoni
 
Kunusuru nchi na machafuko ni kutenda haki tu. Hivi vya kuwatendea watu mabaya alafu mnatuomba tusali kuepusha machafuko ni kutufanya mafala.
Haki??? Ushawahi kudai haki yako Manual?? Tanzania ni nchi Ambayo Raia wake wanatabia na hisia za huruma na kusamehe hata kama umeumizwa sana, tunawathamin sanaa hawa viongozii
 
Haki??? Ushawahi kudai haki yako Manual?? Tanzania ni nchi Ambayo Raia wake wanatabia na hisia za huruma na kusamehe hata kama umeumizwa sana, tunawathamin sanaa hawa viongozii
Unaongea vitu gani wewe?
 
Sasa kama unataka tuingie msituni umejiandaa??? Ushawahi fanya ushawishi kwa wananchi ili kila mmoja awe aware?? Au msituni humu humu kwenye mitandao
Ndiyo tuanze kuuza wazo.... 😀 😀 😀 😀
 
Hii point,kwa Tz hakuna msitu mwingine zaid ya mtandaoni
Tuanze na msitu wa Mabopande upande wa Dr Ulimboka, mbona pako fresh tu,tutoke huku mitandaoni twendeni site!!!
 
S

Stop that nonsense, hakuna cha sala, ni kwenda msituni, sala hazikufikishi popote. CCM sala kwao si kitu. Desmond Tutu , Ndabaning sithole ni makasisi hawakutegemea sala bali mapambano phisically
Mkuuu salute umeongea jambo kubwa.
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Back
Top Bottom