wana jf nisaidieni nina gf wangu ambae tumekaa nae mda mrefu, ila ckuizi kuna tatizo linanisumbua kila tunapo have sex lazima atoke dam tatizo ni nini naombeni ushauri.
wana jf nisaidieni nina gf wangu ambae tumekaa nae mda mrefu, ila ckuizi kuna tatizo linanisumbua kila tunapo have sex lazima atoke dam tatizo ni nini naombeni ushauri.
wana jf nisaidieni nina gf wangu ambae tumekaa nae mda mrefu, ila ckuizi kuna tatizo linanisumbua kila tunapo have sex lazima atoke dam tatizo ni nini naombeni ushauri.
kwa nini mna-do?......................yawezekana ana kansa ya kizazi au...............................amejeruhiwa na kitu fulani.....................hilo ni tatizo linalohitaji uchunguzi wa dakitari..........................mharakishe hospitalini usisubiri uadaku wa humu jamvini.............
Nadhani tatizo linaweza upo kama jogoo haumwandai, au umebarikiwa mtwangio kiasi kwamba unamuumiza. Hebu cheki haya na kama tatizo litaendelea see a doctor.
Hujafafanua damu huwa ni nyingi kiasi gani but kwa jinsi ninavyoelewa kama utakuwa na mtwangio mrefu bac ni rahisi kufika karibu na mlango wa uzazi ambapo ngozi ya kule ni laini sana na hapo unakuwa umejeruhi ila huwa panapona penyewe na hakuna tatizo hapo.Na damu yenyewe huwa ndogo au kama ya hedhi vile.Kama walivyosema baadhi ya wachangiaji kuwa huenda ana kansa ya kizazi sio kweli. . .Hujaeleza ni kiwango gani hiyo damu inayotoka lakini kama ipo kama nilivyoeleza bac mambo poa ila kuwa makini coz ukileleza kidogo tu anaweza pata mimba.
wana jf nisaidieni nina gf wangu ambae tumekaa nae mda mrefu, ila ckuizi kuna tatizo linanisumbua kila tunapo have sex lazima atoke dam tatizo ni nini naombeni ushauri.