KiLA SIKU WANATUNZWA....

Nikweli mkuu hata mimi najaribu hata kujilazimisha mno kuzipenda lakini waapi! hamna uhalisia kabisa!! naishia kutukana tu na sizimalizi......Wajitahidi bwana mbona wenzao wanafanya muvi nzuri tuuu? Kifupi kama wewe ni mtu makini picha zao zinaboa mno!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…