you got it right pal!They deserve!!...Samahani kama nimekukwaza!
you got it right pal!
kanumba yupo juu sana
karibu sana mpwaaz.............hivo eeeh!! ntakuja uniazie filamu zake mpwazz
hahaaaa mpwazz thanks but no thankskaribu sana mpwaaz.............
jamaa yupo juu sana
mimi naangalia sana african magic+ kwa dstv,jamaa anastahili bana
kuna hii moja inaitwa VILLAGE PASTOR,dah dah dah dah!
amewazidi wanaijeria kibao yani
A F-U-C-K-I-N-G hot hot movie
Kuna film mbili za Kitanzania niliangalia. Sijui moja inaitwa Johari? Eti mtu kakaa msituni anasubiri gari, maeneo ambayo kakulia na anaambiwa eti hapo kuna Simba ndiyo anakurupuka na kukimbilia kuingia kwenye Basi. Niliangalia kidogo, nikapeleka mbele kidogo na nikabonyeza EJECT. Kutoka hapo sijaangalia tena hizi film. Niiamua kurudi kwenye download na nikamalizia kuangalia movie zangu za Prison break.
Mkuu Balantanda, kwenye hilo picha kwa kweli UNATISHA.
Ombi langu kwa hawa akina Kanumba ni kuwa au muwe wachezaji au muwe Director wa hizo film. Tafuteni shule nzuri za hii fani na mtaona jinsi ambavyo hata wasiopenda film zenu wataanza kuzitafuta kwa udi na uvumba. Pia pamoja na kutozipenda, nawapa HONGERA kwa kuwa WAANZILISHI wa hii biashara pamoja na ugumu wa soko lenyewe. HONGERENI SANA.
karibu sana mpwaaz.............
jamaa yupo juu sana
mimi naangalia sana african magic+ kwa dstv,jamaa anastahili bana
kuna hii moja inaitwa VILLAGE PASTOR,dah dah dah dah!
amewazidi wanaijeria kibao yani
A F-U-C-K-I-N-G hot hot movie
Mimi ni mzaliwa wa mwambao.....usilete kiswahili chako cha bara
Mimi ni mzaliwa wa mwambao.....usilete kiswahili chako cha bara
Kutunzwa===ni kuhifadhiwa, ama kuweka, uangalizi n.kMimi ni mzaliwa wa mwambao.....usilete kiswahili chako cha bara
..Huyu Mrs. Ndikumana naye bado anafanya haya maigizo ya akina Kanumba??? Mh! Kaaazi kweli kweli...