Mkuu huoti nchi yetu inakuwa donor country??kila siku iendayo Kwa mungu mwenzenu naiota ota mahakama ya kimataifa pale the Hague pia namuota ota mwanamama fatou bensouda
hata hivyo nimegundua hii ndoto ni kama nyingine tu kwahiyo haintishi nalala usiku mwema
Nimecheka....hujamuota nanihiii kweli yupo The Hague? Jaribu kuota tenakila siku iendayo Kwa mungu mwenzenu naiota ota mahakama ya kimataifa pale the Hague pia namuota ota mwanamama fatou bensouda
hata hivyo nimegundua hii ndoto ni kama nyingine tu kwahiyo haintishi nalala usiku mwema
Kama cherehani 2 ni kiwanda tutashindwaje kuwa donor country???Hii ndoto ya karne ijayo mkuu
kila siku iendayo Kwa mungu mwenzenu naiota ota mahakama ya kimataifa pale the Hague pia namuota ota mwanamama fatou bensouda
hata hivyo nimegundua hii ndoto ni kama nyingine tu kwahiyo haintishi nalala usiku mwema