Kila siku anahitaji Penzi jipya imekaaje hii

Teh hehe BHT!
Hii theory ya " you dont use it you loose it" inafaa tu pale uko kwenye pingu au husiano rasmi..siyo ukiwa huria kama huyu mdada!
Halafu hata ukiitumia kwenye hii case mbona mi naona itamaanisha ukiitumia sana manake inakuwa kubwa kama alivyosema teamo na ukiacha kuitumia kitu kinakuwa kdogo. hapo mume anakuta kitu mwake anaanza kuikuza mwenyewe.
 
Huyo dada ana jini mahaba. Sijui atakuwa na wanaume wangapi hadi atakapozeeka. Halafu jini hili husababisha azae watoto wa baba tofauti tofauti. yaani akiwa na watoto wanne na idadi ya baba ni hivyo hivyo. Anatakiwa akemewe haraka sana pepo hilo litoke.
Yaani huyo alivyo hata akijiforce akae na mme mmoja, lazima atakuwa na mme wa pembeni tu na atakuwa akichange every two years. NOTHING BUT PRAYERS

Hilo Jini mahaba naona linamyanyasa binti halimtendei haki..iweje liwe linamuongezea msululu wa wanaume?? anahitajia uponyaji
 
engagement iko more than three Teamo mbona wengi hao ? sijui mitarimbo yao wote imelala doro au utendaji kazi na upendo ni hapa?
eeh!
ngoja nikachukue kifaa cha kupima validity ya sred ako

be back.......
 
unauliza majibu mkuu? ha ha ha umeelewa sana.

Tall bana u have to be specific with stupid head like me.... kama wote hao wajamfikisha then I am sorry to say that she knows very little about this thing.... kwahiyo kosa ni lake!!! I dont like to sound very judgmental though...
 
Tall bana u have to be specific with stupid head like me.... kama wote hao wajamfikisha then I am sorry to say that she knows very little about this thing.... kwahiyo kosa ni lake!!! I dont like to sound very judgmental though...
Too bad u already dd.
 
1. Hajampata mtu wa kumfikisha siku akimpata hatataka mwanamme yeyote na hata mwacha.
2.Akikua ataacha kubadili ataona kuwa wanaume karibu wote tunafanana kwa mambo mengi.

hajakutana nae huyu mwenye kupekecha vizusi, amkimpata ataanza kumbembeleza mwenyewe asiachwe
 
mbona wanaume wanabadilisha wanawake kama nguo ...na hili halionekani ni jambo la ajabu?
mie namsifu huyo dada,she has been true to herself and true to everyone else!
 
Ni Binti wa miaka 26-27 siku zote ananishangaza na mienendo yake
Nadhani akikaa sana B/f haizidi 2 years hapo kajitahidi sana.kishafanya engagement zaidi ya 3 zote anawaacha wachumba.
Nilijaribu kumdadisi kwa nini anadai eti huwa anawachoka wanaume hajisikii kabisa kukaa na mwanamme muda mrefu..na akizidisha mwaka anakuwa kwenye mahusiano asiyoyapenda hata kidogo anaboreka ,anakosa amani na hatamani kumuona huyo mtu..
Yuko tayari kutafuta sababu ili aachane na boyfriend aliye naye ili atafute B/F mpya.
**Asaidiweje binti huyu**

Mie binafsi naona kama anashindwa kuelewa mwili wake ni wa thamani sio kila mtu anayekuja usoni kwake anastahili kupewa penzi...:A S 39:
..

...aah, ataacha tu huyo wala asikutie wasiwasi. Priorities hazijakamilika tu.
 
mbona wanaume wanabadilisha wanawake kama nguo ...na hili halionekani ni jambo la ajabu?
mie namsifu huyo dada,she has been true to herself and true to everyone else!

sio wote bana,...wengine sie ni walokole!
 
mbona wanaume wanabadilisha wanawake kama nguo ...na hili halionekani ni jambo la ajabu?
mie namsifu huyo dada,she has been true to herself and true to everyone else!

hahaha Roselyne1 una vituko wewe... ngoja waje hapa kina baba Eliza
 
Back
Top Bottom