Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 148
Halafu hata ukiitumia kwenye hii case mbona mi naona itamaanisha ukiitumia sana manake inakuwa kubwa kama alivyosema teamo na ukiacha kuitumia kitu kinakuwa kdogo. hapo mume anakuta kitu mwake anaanza kuikuza mwenyewe.Teh hehe BHT!
Hii theory ya " you dont use it you loose it" inafaa tu pale uko kwenye pingu au husiano rasmi..siyo ukiwa huria kama huyu mdada!