Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Ya kwako ilishawahi kupotea? Nani alikusaidia ukaipata tena?isipotumika inapotea ...si kuna such a theory in evolution jameni??
Ya kwako ilishawahi kupotea? Nani alikusaidia ukaipata tena?isipotumika inapotea ...si kuna such a theory in evolution jameni??
Teh hehe BHT!
Hii theory ya " you dont use it you loose it" inafaa tu pale uko kwenye pingu au husiano rasmi..siyo ukiwa huria kama huyu mdada!
hahahaha!Ya kwako ilishawahi kupotea? Nani alikusaidia ukaipata tena?
Ya kwako ilishawahi kupotea? Nani alikusaidia ukaipata tena?
aaaah sisteri mbon aunaanza kuweka mipaka sasa.........usikute binti ndo anaitumia mwenyewe anajionea akhaaaaaaaa kisije kika perish bure, lemme make a gud use of it lol!!!
Aki lakini naona kama huyu binti ana tatizo.......au ndo wale wanaotaka malaika washuke toka mawinguni with total perfection???
Huyo anahitaji moja ya vitu vifuatavyo:
1) Ushauri wa kisaikolojia
2) Maombi
Watu wenye tabia hizi wapo wengi. Huyu ndio mwanamke wa kwanza kusikia ana hii tabia. Ila nina rafiki zangu kadhaa (wa kiume) ambao wakilala na msichana mara mbili, basi hawataki tena kuwaona. Wanatafuta kila aina ya sababu wavunje uhusiano.
yeye naye ... watu wakimchambua anafit kwenye kundi lipi hadi atake malaika?
Most probably atakutana na shetani bilausi mwenyewe!
Am un-sober...cant read between the lines :twitch:Hivi biggy una uhakika kuwa yangu haitumiki??? (swali kwa swali)
Am un-sober...cant read between the lines :twitch:
Nimeshakipata nilichokuwa nakitafuta..... haya tuendelee na sredi. Ushachukua fomu ya udiwani?Hivi biggy una uhakika kuwa yangu haitumiki??? (swali kwa swali)
Ni Binti wa miaka 26-27 siku zote ananishangaza na mienendo yake
Nadhani akikaa sana B/f haizidi 2 years hapo kajitahidi sana.kishafanya engagement zaidi ya 3 zote anawaacha wachumba.
Nilijaribu kumdadisi kwa nini anadai eti huwa anawachoka wanaume hajisikii kabisa kukaa na mwanamme muda mrefu..na akizidisha mwaka anakuwa kwenye mahusiano asiyoyapenda hata kidogo anaboreka ,anakosa amani na hatamani kumuona huyo mtu..
muhishimiwa biggy najibu tafadhali...............Hivi biggy una uhakika kuwa yangu haitumiki??? (swali kwa swali)
Nothing wrong....ila kuwa sober ni usumbufu....i can't see the lines, let alone read behind/in between them!hahaaaa read behind the lines Roy!!!!! wats wrong witch u huh???
huyo bado sana!mwacheni aendelee ku-wanga huku na kule!....
pole yake atakaemuoa maanake atakuta hadi ile theory ya ELASTICITY imeshakuwa ''nullified''!atakutana na bwawa sijui kisima ai doo noo
Ya kwako ilishawahi kupotea? Nani alikusaidia ukaipata tena?
Hivi biggy una uhakika kuwa yangu haitumiki??? (swali kwa swali)
muhishimiwa biggy najibu tafadhali...............
Nimeshakipata nilichokuwa nakitafuta..... haya tuendelee na sredi. Ushachukua fomu ya udiwani?
Yawezekana ni "Casta Semenya" huyo au "lesibian" of lowest degree!
wanaume wa kiswahili wengi hawako romantic............na hata akiwa romantic labda kwa siku za mwanzo.....zikimaliza hizo bibie anakitoa manake anakuwa amejichokea maisha monotone, kila siku namna ile ile, mtindo ule ule, marafiki wale wale, mitoko ile ile.
akipata cha kuridhika nacho kwenye relationship ambacho ni zaidi ya yule mwanamme nafiri anaeweza kuwa amejisadia.