kwa mtindo huo..Vaa vizuri ,paka mafuta, jipulizie unukie ,ongea kama mwanaume unaejitambua acha kuwatizama sana wadada, utapata mrembo mzuri utafurahi na roho yako.sawa mwanachuo?
Njia rahisi sana wala hatatumia nguvukwa mtindo huo..
ajiandae kutongozwa na msichana
Ata aliekuzaa mdudu au ?Hawo wadudu si mtu mmoja ni wakuchangia.Tafuta kilainishi utakuta unawamaliza wote!!.
Hata sasa bado inatendekaMiujiza ilikuwa wakati wa yesu
ninayo mkuuNunua sub woofer mchina ya elfu 65 - 90 weka geto.
ameandaliwa na nanJua wa kwako ameandaliwa kwaajili yako kuwa mvumlivu.
mm najitongozaje mkuuJitongoze mwnyw kwa majaribio
kama zipiMademu wa miaka hii huwa hatuwatongozi ni chechele chechele tu nyingi mnajikuta wapenzi.
kwani bila pesa haiwezekani mkuu auUtakubaliwaje bila kuonesha ushirikiano mkuu!
Au hao warembo wanaokuvutia unadhani hawagaramikiwi? Wapandie dau acha kulia
Jitumie msgmm najitongozaje mkuu
hujui kutongozaDomo zege likoje mkuu