Kila ninavyoitafakari Mbingu

Kila ninavyoitafakari Mbingu

Upo sahihi kuamini mungu hayupo.Na ni haki yako.Mimi nina amini yupo.Tukubaliane kutokubaliana katika hilo.

Mungu alikuwa na maana yake kuweka kifo.Mimi na wewe hatuwezi kujua alikuwa ana maana gani na mimi na wewe wote tutakufa na kuoza na tutamuacha Mungu.Na haya malumbano kati yangu mimi na wewe juu ya uwepo wa Mungu ni dalili kuwa siku zetu za uwepo hapa duniani zimeshapungua sana.

Kibiblia tunaambiwa Adam na Hawa hawakutakiwa kufa.Walikuwa wanakula mimea na hakuna mnyama yoyote aliyekufa.Mungu akawapa utashi Adam na Hawa na akawakanya wasile tunda lililokatazwa.Adam na Hawa wakamkaidi Mungu wakala tunda.Mungu akakasirika akawapa kifo.Hivyo kifo kibiblia ni sehemu ya uumbaji na imetokana na dhambi ya wazazi wetu wa mwanzo.
Adam, Eve and all the animals were created to eat only vegetation ( Genesis 1:29-30). Nothing died prior to the spiritual fall of Adam and Eve (Genesis 3:19 and 3:21).

Sayansi pia inakubali kuwa kifo ni sehemu ya uumbaji.Sayansi inasema kifo kimeweza kubadilisha viumbe mbalimbali viweze kuendana na ugumu wa mazingira yao yaani evolution through natural selection and survival of fittest.Kwa mtizamo wa kibinadamu kifo kinaweza kuwa ni kibaya ila kisayansi kifo kimeweza kumbadilisha binadamu kutokuwa kuwa kama nyani akitumia zana za mawe mpaka leo ameweza kurusha chombo kwenda sayari ya mars na kurudi.

Kwa kifupi biblia na sayansi vyote vinaonyesha kifo ni sehemu ya uumbaji wa Mungu na sababu za uwepo wa kifo katika uumbaji.
Umeshakubali humjui huyo Mungu unayemuamini. Hujui sababu zake za kuchagua ubaya badala ya uzuri.

Kwa sababu hujui hilo, humjui.

Na kama humjui, unajuaje kwamba imani yako kwamba yupo ni sahihi?

Unajuaje imani hiyo nibya kweli na si ya uongo tu?
 
Umeshakubali humjui huyo Mungu unayemuamini. Hujui sababu zake za kuchagua ubaya badala ya uzuri.

Kwa sababu hujui hilo, humjui.

Na kama humjui, unajuaje kwamba imani yako kwamba yupo ni sahihi?

Unajuaje imani hiyo nibya kweli na si ya uongo tu?
You are becomming too illogical.Arguing for the sake of endless and non educative arguing is childish.
I am a theist and you are an atheist.Period.
 
You are becomming too illogical.Arguing for the sake of endless and non educative arguing is childish.
I am a theist and you are an atheist.Period.
You are illogical. You believe in a self contradicting construct as being true.

I am not illogical. I question that construct on the basis of logic.

I have no problem with you being theist,but once you bring your faith here, it is subject to discussion and questions.
 
Kwa tunaotaka kuiona hiyo mbingu tutende mema na kwa ukamilifu ili siku ilifika tufike huko. Tofauti na hapo tutaishia jehenamu ktk ule moto wa milele.
 
Jaman kama vipi mtu ajitoe tu kuunda group la telegram au whatsap tufumbuane maana naona wengi wenu mko nyuma sana kufaam dunia inakwenda vip kiusiri.
 
Upo sahihi kuamini mungu hayupo.Na ni haki yako.Mimi nina amini yupo.Tukubaliane kutokubaliana katika hilo.

Mungu alikuwa na maana yake kuweka kifo.Mimi na wewe hatuwezi kujua alikuwa ana maana gani na mimi na wewe wote tutakufa na kuoza na tutamuacha Mungu.Na haya malumbano kati yangu mimi na wewe juu ya uwepo wa Mungu ni dalili kuwa siku zetu za uwepo hapa duniani zimeshapungua sana.

Kibiblia tunaambiwa Adam na Hawa hawakutakiwa kufa.Walikuwa wanakula mimea na hakuna mnyama yoyote aliyekufa.Mungu akawapa utashi Adam na Hawa na akawakanya wasile tunda lililokatazwa.Adam na Hawa wakamkaidi Mungu wakala tunda.Mungu akakasirika akawapa kifo.Hivyo kifo kibiblia ni sehemu ya uumbaji na imetokana na dhambi ya wazazi wetu wa mwanzo.
Adam, Eve and all the animals were created to eat only vegetation ( Genesis 1:29-30). Nothing died prior to the spiritual fall of Adam and Eve (Genesis 3:19 and 3:21).

Sayansi pia inakubali kuwa kifo ni sehemu ya uumbaji.Sayansi inasema kifo kimeweza kubadilisha viumbe mbalimbali viweze kuendana na ugumu wa mazingira yao yaani evolution through natural selection and survival of fittest.Kwa mtizamo wa kibinadamu kifo kinaweza kuwa ni kibaya ila kisayansi kifo kimeweza kumbadilisha binadamu kutokuwa kuwa kama nyani akitumia zana za mawe mpaka leo ameweza kurusha chombo kwenda sayari ya mars na kurudi.

Kwa kifupi biblia na sayansi vyote vinaonyesha kifo ni sehemu ya uumbaji wa Mungu na sababu za uwepo wa kifo katika uumbaji.
Bible ni kitabu cha kukopiwa na kinapotosha mno,usinishangae tafiti ndipo unirudie.
 
Back
Top Bottom