nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,683
- 14,066
Naam ni enzi za ujana katika harakati za kutafuta maisha nilikuwa katika kipindi cha hali ngumu na kujitafutia kazi halali za kujiingizia kipato hasa kujichanganya katika vibarua vya ujenzi mambo ya ufundi garage na jioni kuchoma mahindi katika njia panda fulani.
Ni ndani ya jiji la Dar el salaam katika njia panda hiyo kuna kituo cha daladala ambapo mida ya jioni raia wengi hushuka kuelekea majumbani mwao.
Kwa kifupi kuna mama mmoja mtu mzima (kwa sasa wanajulikana kwa jina la Mushangazi),,,kila anaporudi kazini hupita katika kijiwe changu na kujipatia muhindi wa kuchoma.
Naam siku moja nikajaribu kurusha ndoano kiutani lakini akawa mkali kiaina na kunivunja moyo.
Kutokana na muonekano wangu; na hali yangu ya kimaisha nikaona kweli ni kujipotezea muda basi nikampotezea na kuendelea na maisha na mishe mishe zangu,
Pamoja na kunitolea nje hakuacha kuwa mteja wangu na mimi nikawa namhudumia kwa heshima tu na kamwe sikuthubutu tena kurusha ndoano.
Sasa sina uhakika kama kule kunitolea nje ilikuwa ni utani au alikuwa anapima urefu wa maji kwa miguu; swali hili niljiuliza baada ya kumaliza raundi ya kwanza nikiwa bafuni nabadilisha mpira wa kiume.
Baadae sana ndipo nikapata elimu kwamba alikuwa na tatizo la Emotional Suppression pamoja na Cognitive Dissonance.
Kwa hiyo hawa viumbe ukiona anakuwa mkali sana kwamba hakutaki...huwa ni kinyumeche...bila kuwasahau wale sitaki nataka.
HAPO VIPI
Ni ndani ya jiji la Dar el salaam katika njia panda hiyo kuna kituo cha daladala ambapo mida ya jioni raia wengi hushuka kuelekea majumbani mwao.
Kwa kifupi kuna mama mmoja mtu mzima (kwa sasa wanajulikana kwa jina la Mushangazi),,,kila anaporudi kazini hupita katika kijiwe changu na kujipatia muhindi wa kuchoma.
Naam siku moja nikajaribu kurusha ndoano kiutani lakini akawa mkali kiaina na kunivunja moyo.
Kutokana na muonekano wangu; na hali yangu ya kimaisha nikaona kweli ni kujipotezea muda basi nikampotezea na kuendelea na maisha na mishe mishe zangu,
Pamoja na kunitolea nje hakuacha kuwa mteja wangu na mimi nikawa namhudumia kwa heshima tu na kamwe sikuthubutu tena kurusha ndoano.
Sasa sina uhakika kama kule kunitolea nje ilikuwa ni utani au alikuwa anapima urefu wa maji kwa miguu; swali hili niljiuliza baada ya kumaliza raundi ya kwanza nikiwa bafuni nabadilisha mpira wa kiume.
Baadae sana ndipo nikapata elimu kwamba alikuwa na tatizo la Emotional Suppression pamoja na Cognitive Dissonance.
Kwa hiyo hawa viumbe ukiona anakuwa mkali sana kwamba hakutaki...huwa ni kinyumeche...bila kuwasahau wale sitaki nataka.
HAPO VIPI