ommy clear
JF-Expert Member
- May 26, 2018
- 214
- 57
Hivi kwanini kila nikiomba kazii, sipati kuitwa hata kwenye interview hali ya kwamba vigezo ninavyo? Nakwama wapi waungwana hivi ukitoa academic vitu gani vingine muhimu vya kuzingatia pengine mimi sifanyi hivyo? Naomba wazoefu wa mambo aya wanipe ufaham kidogo.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app