karim02
Member
- Apr 25, 2016
- 64
- 40
Habari zenu wakuu,
Poleni na majukumu ya kutwa nzima,
Na samahani kwa kuwachosha na thread yangu.
Nina girlfiriend wangu, tuna miezi kadhaa sasa tangu tulipoingia katika mahusiano. Shida ni kuwa hana muda wa kuonana nami kwa kisingizio kuwa yupo bize na pia anasema ni vizuri tukae muda mwingi bila kuonana kwa sababu kila mmoja atakuwa na hamu ya mwenzie hususan pale tutapoonana.
Ni wiki tatu hadi mwezi sasa hatujaonana na tunaishi mji mmoja pia muda anaotoka kazini ni sambamba na ule wa kwangu. Sijajua ni kweli asemayo au ni ulaghai tu ukizingatia ninampenda.
Naomba ushauri!
Poleni na majukumu ya kutwa nzima,
Na samahani kwa kuwachosha na thread yangu.
Nina girlfiriend wangu, tuna miezi kadhaa sasa tangu tulipoingia katika mahusiano. Shida ni kuwa hana muda wa kuonana nami kwa kisingizio kuwa yupo bize na pia anasema ni vizuri tukae muda mwingi bila kuonana kwa sababu kila mmoja atakuwa na hamu ya mwenzie hususan pale tutapoonana.
Ni wiki tatu hadi mwezi sasa hatujaonana na tunaishi mji mmoja pia muda anaotoka kazini ni sambamba na ule wa kwangu. Sijajua ni kweli asemayo au ni ulaghai tu ukizingatia ninampenda.
Naomba ushauri!