Kila nikitaka nimwache nashindwa, nifanyeje?

Kila nikitaka nimwache nashindwa, nifanyeje?

The Genius

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2018
Posts
828
Reaction score
2,108
Wakuu salamu.
Kuna mpenzi wangu mmoja hivi wa muda mrefu kidogo, yeye yupo kwake na mimi nipo kwangu.

Sasa, sometimes naona kama vile hatupendani kivileee, so nikaamua nitafute mpenzi mwingine ili nihamishe hisia kwake then nimwache cha ajabu kila ninaye mpata huwa sidumu nae muda mrefu.

Nimeshakuwa na wapenzi wanne lakini wote baada ya muda tunaachana na narudiana na yule wa kwanza ambaye ndio nina mpango wa kumtema.

Nifanyaje?
Nibaki na huyu huyu au niendelee na harakati zangu za kumtema. Au kuna fate ipo between us!
......
Nawasilisha
 
kikubwa msimamo mkuu hujaamua wewe

Fanya maamuzi magumu uheshimiwe, waisrael walihama misri wakakaa miaka 40 Jangwani hawajafika nchi ya Ahadi, kutapatapa kwa mahusiano mapya kawaida

Mimi binafsi nikiwa na akili zangu timanu niliamuaga kumuacha mtu nmekaa nae miaka mi5.. Baada ya kuachana nmepitia mengi tu magumu ya kuvunja moyo mara 100 ya ya kwake na yeye yupo anabembeleza mpaka leo nirudi lakini pamoja na hayo nilishaamua kama noma na iwe noma nmemove on.
 
Daah jinsia yako ni tatanishi sometime upo Me then Ke what do you gain for this utopian thinking...nadhani wewe sio mwanaume coz hujiamini kwa jinsia yako.
 
Wakuu salamu.
Kuna mpenzi wangu mmoja hivi wa muda mrefu kidogo, yeye yupo kwake na mimi nipo kwangu.

Sasa, sometimes naona kama vile hatupendani kivileee, so nikaamua nitafute mpenzi mwingine ili nihamishe hisia kwake then nimwache cha ajabu kila ninaye mpata huwa sidumu nae muda mrefu.

Nimeshakuwa na wapenzi wanne lakini wote baada ya muda tunaachana na narudiana na yule wa kwanza ambaye ndio nina mpango wa kumtema.

Nifanyaje?
Nibaki na huyu huyu au niendelee na harakati zangu za kumtema. Au kuna fate ipo between us!
......
Nawasilisha
adi apo inaonekana mnapendana so komaa nae ama mchec yeye anasemajee mtu wanguuuu
 
Back
Top Bottom