X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,700
- 14,766
acha wivu...wa kijinga
Sawaacha wivu...wa kijinga
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Muda huu itakuwa ana meza pain killer
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Gwaji boy answerNi Wivu Tuu!
mlambe tigo ykeJaman sijui ni wivu wangu tu au sielewi
Iko hivi ninaishi na mme wangu ni muda Sasa....
Ijumaa last week nilisafir kuja nyumban kwetu mama anaumwa ambapo ni mkoa mwingine na ninapoishi na mme wangu
Nimesafir alhamis jmos akaja kwangu wifi angu na rafiki ake wapo chuo...mume kesho yake akanitaalufu tumepata mgeni wf na rafik ake
Ambacho nilishangaa haijawah kupita wk 2 sijawasiliana na wf angu lkn kaja wala hajaniambia kafika hajanikuta hata msg tu hajaniambia nami nikanyamaza
Kinachoniwazisha Leo nimempigia mume saa 4 usiku anapokea yupo kwenye kelele ananiambia katoka out nawagen
Nachoshangaa tangu nimemfaham huyu baba miaka 2 hajawah kunitoa out nishambembeleza badae nikaona nimtu ambae hana interest hizo...nashangaa Leo aiseee
last easter nilimwambia baba jion tusipike hatuna mtoto twende tukae sehem tule turudi nyumban uzur wote hatutumii kilevi akakataa najiuliza na nimeshangaa Sana leo
Huyu rafik wa wifi ni wa muda mrefu tu tangu tunaishi jiran na wanaposomea walikua kila week end wanakuja kwa jamaa j3 wanarudi chuo wakati atujaanza kuishi wote
Nawaza labda ni wivu wangu tu!!
Kwann wf ata asinijulishe wala sms tu yupo kimya!!
Kinachoniuma zaidi mke sijawah kutokewa out hata ya soda tu
Bora hata angeniambia before maana nimempigia saa 12 jion alikua nyumban tu
Aiseee usingizi haujii
Nyumba nyingi zina vitimbi, hivi kabla ya kuoana hamkuwahi kuongea hayaHawajaoana hao wanaishi tu pamoja hujaskia babamkwe hatakiNyumba nyingi zina vitimbi, hivi kabla ya kuoana hamkuwahi kuongea haya
Kiafrica kuishi tu na binti wa watu ni kuoana tayari japo sio verifiedHawajaoana hao wanaishi tu pamoja hujaskia babamkwe hataki
acha kutengeneza mambo yasiyokuwepo, jifunze kutokutengeneza matatizo kwenye mawazo yako.Jaman sijui ni wivu wangu tu au sielewi
Iko hivi ninaishi na mme wangu ni muda Sasa....
Ijumaa last week nilisafir kuja nyumban kwetu mama anaumwa ambapo ni mkoa mwingine na ninapoishi na mme wangu
Nimesafir alhamis jmos akaja kwangu wifi angu na rafiki ake wapo chuo...mume kesho yake akanitaalufu tumepata mgeni wf na rafik ake
Ambacho nilishangaa haijawah kupita wk 2 sijawasiliana na wf angu lkn kaja wala hajaniambia kafika hajanikuta hata msg tu hajaniambia nami nikanyamaza
Kinachoniwazisha Leo nimempigia mume saa 4 usiku anapokea yupo kwenye kelele ananiambia katoka out nawagen
Nachoshangaa tangu nimemfaham huyu baba miaka 2 hajawah kunitoa out nishambembeleza badae nikaona nimtu ambae hana interest hizo...nashangaa Leo aiseee
last easter nilimwambia baba jion tusipike hatuna mtoto twende tukae sehem tule turudi nyumban uzur wote hatutumii kilevi akakataa najiuliza na nimeshangaa Sana leo
Huyu rafik wa wifi ni wa muda mrefu tu tangu tunaishi jiran na wanaposomea walikua kila week end wanakuja kwa jamaa j3 wanarudi chuo wakati atujaanza kuishi wote
Nawaza labda ni wivu wangu tu!!
Kwann wf ata asinijulishe wala sms tu yupo kimya!!
Kinachoniuma zaidi mke sijawah kutokewa out hata ya soda tu
Bora hata angeniambia before maana nimempigia saa 12 jion alikua nyumban tu
Aiseee usingizi haujii
Hawajaoana hao wanaishi tu pamoja hujaskia babamkwe hataki