Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 12,170
- 17,584
Bibi ShikamoooHuyo hajawatoa "out" ni wao ndiyo wamemtoa "out".
Bibi ShikamoooHuyo hajawatoa "out" ni wao ndiyo wamemtoa "out".
Muda huu itakuwa ana meza pain killerSidhani kama mleta uzi kapata usingizi kweli
Unaujua uchungu wa mama?Unajua uchungu wa mume?
Na inaonekana huyo bidada hana ushawishi kwa mumewe. Hivi kweli mwanamke ataka umtoe out mwanaume ukaze? Sijawahi ona. Labda niwe sina hela kabisa na ntasema.Huyo hajawatoa "out" ni wao ndiyo wamemtoa "out".
kua muungwana bas mkuuKesha usilale..endelea kutetemeka wakati wenzio wanakula good time
Kumbe jibu amekupa kua haina tatizo sasa una tetemeka nini?? jiamini na muamini mwenzio.Namemuulizaa anadai kuwatoa haoni Kama ni tatizo ...kuhusu taarifa anasema ye hajui nimuulize wifi
Acha wivuUnajua uchungu wa mume?
Uungwana wa nini analeta utoto.kua muungwana bas mkuu
Itakua aiseeNi Wivu Tu.View attachment 1119157
Wewe shoga harakati zenu za kugawa nyuma vp?Kwanini usimuulize huyo mumeo sababu ya kutoa wageni out wakati wewe hajawahi kukutoa na sababu ya wifi yako kuja kwako na kushindwa kukutaarifu hata kwa sms??
maana kwa humu sidhani kama utapata majibu ya maswali yako, ndoa njema ni kuzungumza ya moyoni na sio kuogopana na kusemea pembeni.
"out" imem knock out!Huyo hajawatoa "out" ni wao ndiyo wamemtoa "out".