Mkalimani wa Bibi
JF-Expert Member
- Sep 6, 2017
- 801
- 3,140
😂😂😂Unadate na mlokole mzeee tulizana shauri yako
😂😂😂Unadate na mlokole mzeee tulizana shauri yako
Kama title inavyojieleza wakuu,
Nina mpenzi wangu nampenda sana naye ananipenda Japo csijui ni kwa kiacsi gani kwasababu kila mtu na moyo wake.
Sasa huwa inafka muda mwanaum huwa nahitaj ku-cheat ili kukidhi mahitaji but kila nkifanya hivyo manzi wangu ananiambia kuwa ameota ndoto kuwa nina mwanamke mwingine na ameniuliza kuhusu hilo na nimekataaa kata kata kwenye ndoto na hata alivokuja kuniambi katika uhalisia nilikataa pia.
Hii inawez kumaanisha nini? Maana mimi nimewaza nimeshindwa kuelewa na sina hakika kama kuna mtu anampa taarifa juu ya kile ninachokifanya.
Eti atapiga nje hatari hahah, suala la kupiga nje ni hulka tu sio lazima asubirie mpaka ufike menopose sema naona graph za libido maranyingi huwa zinakua inversely proportional baina na yenu kadri muda unavyoenda, yani wakati yako ipo juu ya mwenzio ipo chini and vice versaNaomba iwe hivyo maana naanza kupata stress na hivyo hatujazidiana sana na mr naona kama atapiga nje hatari. Wanasema early menopose starts at 40's and late at 55's
Wewe ni "ke" wanaume huwa tunacheat tu sio kwa sababu hatuwapend tulionao, ni kwakuwa kunaendeshwa na tamaa zaid na mara nyingi tunacheat na wanawake ambao hawafikii uzur wa wapenzi/wake zetuEti nampenda sana,afu unacheat? Tunacheat kwa tusiowapende
AiseeeHuyo mnunulie vibuyu, mkaratusi, mfumbasi, shanga na makolokocho mengine awe mganga tu
😂 😂 😂Huyo mnunulie vibuyu, mkaratusi, mfumbasi, shanga na makolokocho mengine awe mganga tu
Kweli mkuuu tunatofautianaEti atapiga nje hatari hahah, suala la kupiga nje ni hulka tu sio lazima asubirie mpaka ufike menopose sema naona graph za libido maranyingi huwa zinakua inversely proportional baina na yenu kadri muda unavyoenda, yani wakati yako ipo juu ya mwenzio ipo chini and vice versa
Ana jini mahaba huyo....Kama title inavyojieleza wakuu,
Nina mpenzi wangu nampenda sana naye ananipenda Japo csijui ni kwa kiacsi gani kwasababu kila mtu na moyo wake.
Sasa huwa inafka muda mwanaum huwa nahitaj ku-cheat ili kukidhi mahitaji but kila nkifanya hivyo manzi wangu ananiambia kuwa ameota ndoto kuwa nina mwanamke mwingine na ameniuliza kuhusu hilo na nimekataaa kata kata kwenye ndoto na hata alivokuja kuniambi katika uhalisia nilikataa pia.
Hii inawez kumaanisha nini? Maana mimi nimewaza nimeshindwa kuelewa na sina hakika kama kuna mtu anampa taarifa juu ya kile ninachokifanya.
Akikuambia hivyo mwambie akutajie na cku yako ya kufaKama title inavyojieleza wakuu,
Nina mpenzi wangu nampenda sana naye ananipenda Japo csijui ni kwa kiacsi gani kwasababu kila mtu na moyo wake.
Sasa huwa inafka muda mwanaum huwa nahitaj ku-cheat ili kukidhi mahitaji but kila nkifanya hivyo manzi wangu ananiambia kuwa ameota ndoto kuwa nina mwanamke mwingine na ameniuliza kuhusu hilo na nimekataaa kata kata kwenye ndoto na hata alivokuja kuniambi katika uhalisia nilikataa pia.
Hii inawez kumaanisha nini? Maana mimi nimewaza nimeshindwa kuelewa na sina hakika kama kuna mtu anampa taarifa juu ya kile ninachokifanya.
Ungetuweka wazi na matukio hunogesha zaidiMna bond /Halafu kakupenda
Niliwahi kuwa na mwanaume tulitokea kupendana, mda mrefu tu sasa ikafika kipindi kama huyo mwanamke wako nikaota ananicheat nikaliota tukio zima kama lilivyo basi haipiti siku2 linatokea vike vile, ilihali nikiamka tu namwambia nilivyoota anasema si ndoto tu mwisho w a siku inakua kweli.
Mwisho kabisa nilikuja kuota ikatokea siku hio hio na ndio kisa cha kuachana. Haijawahi kunitokea kwa mtu mwingine yeyote badala yake.
Mi nafikiri ni bond kati yenu,kuna mtu aliwahi kusema humu kuwa mapenzi ni spiritually .