Life2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,377
- 4,847
Endeleeni kupumzika kwa amani wote mliolala usingizi wa milele, nyie mmetangulia na sisi tutafwata sema hatujui siku wala saa.
Ni kweli ndugu zetu wanaondoka kila siku wapo tunaowafahamu na tusiowafahamu bahati ukiwa kiongozi ukitangulia mbele za haki jamii nzima itafahamu.
Ni kweli kwa sisi watu wa imani tunaamini VIFO VYOTE HUPANGWA NA MUNGU bali nyakati nyingine wanadamu kutokana na utashi wetu na imani zetu ndogo tunaanza kuhoji baadhi ya vifo na kusahau ile kauli kazi yake Mungu haina makosa.
Hivi ni vifo vya baadhi ya viongozi wa taifa letu waliotangulia mbele za haki na watu kuhoji either kwanini wawe watu wa imani moja na je badala ya kumaliza safari zao hapo duniani nafasi zao zilishikwa na nani na watu kuenda mbali zaidi na kuhoji hata imani
Ndg Ndugulile
Ndg Job Ndugai
Ndg Jenista.
Ndg Magufuli
Ndg Mkapa
Ndg Kijazi
Ndg Mwl Nyerere.
Ndg Hillary
Tuwaombee wote waendelee kupumzika kwa amani na wote waliosaulika
Tuendelee kukataa roho zote za Mauti ndani ya taifa letu
Ni kweli ndugu zetu wanaondoka kila siku wapo tunaowafahamu na tusiowafahamu bahati ukiwa kiongozi ukitangulia mbele za haki jamii nzima itafahamu.
Ni kweli kwa sisi watu wa imani tunaamini VIFO VYOTE HUPANGWA NA MUNGU bali nyakati nyingine wanadamu kutokana na utashi wetu na imani zetu ndogo tunaanza kuhoji baadhi ya vifo na kusahau ile kauli kazi yake Mungu haina makosa.
Hivi ni vifo vya baadhi ya viongozi wa taifa letu waliotangulia mbele za haki na watu kuhoji either kwanini wawe watu wa imani moja na je badala ya kumaliza safari zao hapo duniani nafasi zao zilishikwa na nani na watu kuenda mbali zaidi na kuhoji hata imani
Ndg Ndugulile
Ndg Job Ndugai
Ndg Jenista.
Ndg Magufuli
Ndg Mkapa
Ndg Kijazi
Ndg Mwl Nyerere.
Ndg Hillary
Tuwaombee wote waendelee kupumzika kwa amani na wote waliosaulika
Tuendelee kukataa roho zote za Mauti ndani ya taifa letu