Kila mwanakijiji alipata kitita cha elfu 10

Kila mwanakijiji alipata kitita cha elfu 10

Hapa ndio tunapaswa kuelewa kuwa hali ya maisha ya mtanzania bado ni ngumu sana...sio ajabu ukaenda kijijiji na kukuta mtu anashindwa kununua pakti ya chumvi...ambayo kimsingi haizidi shs 300! Sembuse kukutana na shilingi 10,000? Hakika hiki ni KITITA kama sio BULUNGUTU kabisa...

mambo vp Dina, jina hili limefanana na Dina wa Arusha.
 
mambo vp Dina, jina hili limefanana na Dina wa Arusha.

Poa sana tu....hili jina bwana limeenea bara mpaka visiwani...kwa hiyo ni kweli hata Arusha watakuwepo.
 
Michango mingi humu inaonyesha ni jinsi gani walio wengi walivyolemaa na maisha ya mjini. Jamani kuna sehemu mtu anakuwa na hela kwa ajili ya tahadhari tu wala haihitaji kwa ajili ya maisha yake ya kila siku. Mjini kila kitu unanunua wakati kijijini vitu vingi wanazalisha wenyewe.
 
Hata kama ni kijijini bado wamewaumiza pesa ndogo sana hio
 
Poa sana tu....hili jina bwana limeenea bara mpaka visiwani...kwa hiyo ni kweli hata Arusha watakuwepo.

upo wapi mwenzangu, maana kama vile ni wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom