Kila mwana CCM ni msemaji wa serikali?

Kila mwana CCM ni msemaji wa serikali?

Wapinzani wenyewe hutegemea taarifa ya CAG ndiyo huona wamepata hoja za kusema. Hawana kitu. Sasa wameshupalia Lugumi kama njia mpya ya kupata umakini wa watanzania maana kila wafanyacho sasa hivi wananchi wanawapotezea.
Nchi ilikwisha weka taasisi ya kufuatilia matumizi ya serikali yaani CAG kwenye katiba kabla ya vyama vingi. Hivyo hata kusiwepo wapinzani taasisi hii ndiyo inayotosha. kwani kila ubadhilifu unaousikia wapinzani wanshangaika nao chanzo ni hii taasisi. Tambua hilo.

We ni mjinga kweli
 
Wewe unayejua umalaya wa mdomo ndiye unajua unafanyikaje. Nimekusaidia kujua umri wa ofisi ya CAG unazidi vyama vya upinzani beba hili sikunyingine utaonekana mwelevu. Nikuongezee hili baada ya Kikwete kushika madaraka aliagiza taarifa hii iwe inajadiliwa bundeni. Pia alikwenda mbali na mkutaka CAG awe anakwenda na polisi au PCCB ili pale manyanga yanapogundulika awakabidhi polisi au PCCB waendelee na huo uozo sio kusubiri mpaka taarifa itolewe. Sasa baada ya hapo ndipo upinzani wemekuwa wakipatiapo hoja. Huenda ulikuwa mtoto kujua haya, basi jifunze usikurupuke.
Inawezekena umetekwa na mahaba tu. Umri wa CAG kuzidi vyama halikutokea kuwa ufumbuzi. Hata slip opera Polisi na Pccb haikuwa kuleta maana yoyote na kuzuia au kupunguza ubadhirifu. Kubeza kelele za upinzani ni kukosa maono. Serikali nyingi za Kiafrika zinapata taabu sana kwa sababu ya kukosa maono. Nchi inaongozwa na watu wa kada na taaluma tofauti. Watu hapo hawawezi kuwa kwenye vyama tawala tuu. Nawe unaangukia hapo. Suala la umri huhitaji kulijadili kwani unaweza nusu au robotatu ya umri wangu, au vice versa hiyo siyo tatizo.
 
Inawezekena umetekwa na mahaba tu. Umri wa CAG kuzidi vyama halikutokea kuwa ufumbuzi. Hata slip opera Polisi na Pccb haikuwa kuleta maana yoyote na kuzuia au kupunguza ubadhirifu. Kubeza kelele za upinzani ni kukosa maono. Serikali nyingi za Kiafrika zinapata taabu sana kwa sababu ya kukosa maono. Nchi inaongozwa na watu wa kada na taaluma tofauti. Watu hapo hawawezi kuwa kwenye vyama tawala tuu. Nawe unaangukia hapo. Suala la umri huhitaji kulijadili kwani unaweza nusu au robotatu ya umri wangu, au vice versa hiyo siyo tatizo.
Kweli wapinzani yao ni kelele, fujo kutoka nje na kutukana hapo sikupingi. Napopinga mimi ni kutuambia hayo wafanyayo yanasaidia hilo nakataa. Kwa kuwa umri na akili yako huvutiwa na hizi kelele ngoja nikupe pole.
Wabunge wa ccm ndio wanaofanya uamuzi bungeni. Uamuzi unaweza kuwa mzuri au mbaya kwa mujibu wako lakini ni uamuzi uliofanywa na wabunge wa ccm. Wapinzani huwa wanatoa michango yao lakini wanaofanya uamuzi ni wabunge wa ccm. Ukibisha hili utakuwa mtu wa ajabu sana.
Hakuna hoja wanayochangia wanachadema dhidi ya matumizi ya serikali isiwe imetoka kwenye vitabu vya CAG. Hivyo upinzani kufichua uovu ni uongo bali huwa wanashabikia kazi ya CAG.
 
Hivi karibuni kumetokea tabia hapa nchini kila serikali inapokosolewa iwe na wapinzani au mtu mwingine yeyote yule watu wanasimama kutetea bila kujua kama jambo husika lina ukweli kiasi gani na kuwafanya wakosoaji kuwa hawajui kitu na hata kama suala lenyewe linahusu kutekeleza taratibu, kanuni ama sheria.

Ndugu zangu eleweni kuwa watu wanapokosoa hawalengi kuichukia ama kupinga mazuri yanayofanywa na serikali bali ifanye kwa mujibu wa taratibu, kanuni na sheria hapo inapendeza sana, leo magufuli ametoa mwongozo kama wapinzani walivyotaka mkawazomea sawa mtaficha wapi nyuso zenu imbeni tena huo wimbo mpya nawashauri mkasome kitabu cha shamba la wanyama 'the animal farm' huko mtajifunza vizuri kuhusu upambe usiofaa, watanzania tuheshimiane mbona tutaenda vizuri tu sisi sote tu binadamu kukosea ni jambo la kawaida tu mbona .
Att:jingalao
Si CCM inawalipa 7000 kwa siju
 
Back
Top Bottom