Issa SLuu
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 2,303
- 1,804
Wapinzani wenyewe hutegemea taarifa ya CAG ndiyo huona wamepata hoja za kusema. Hawana kitu. Sasa wameshupalia Lugumi kama njia mpya ya kupata umakini wa watanzania maana kila wafanyacho sasa hivi wananchi wanawapotezea.
Nchi ilikwisha weka taasisi ya kufuatilia matumizi ya serikali yaani CAG kwenye katiba kabla ya vyama vingi. Hivyo hata kusiwepo wapinzani taasisi hii ndiyo inayotosha. kwani kila ubadhilifu unaousikia wapinzani wanshangaika nao chanzo ni hii taasisi. Tambua hilo.
We ni mjinga kweli