Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 2,289
- 3,019
Nawatakia ushindi kesho kwenye mchezo wenu mgumu dhidi ya Wydad mkiwa nyumbani.
Japo timu iliyokuwa ni mbovu kuliko timu zote zinazoshiriki klabu bingwa msimu huu ila nawaombea hivyo mshinde mechi yenu ya kesho ili mfikishe point 7 ili kujiwekea mazingira mazuri ya kufuzu na kubeba kombe la klabu bingwa msimu huu.
Japo timu iliyokuwa ni mbovu kuliko timu zote zinazoshiriki klabu bingwa msimu huu ila nawaombea hivyo mshinde mechi yenu ya kesho ili mfikishe point 7 ili kujiwekea mazingira mazuri ya kufuzu na kubeba kombe la klabu bingwa msimu huu.