Fafanunua kivipiNamjua kwa kiasi kidogo sana huyu binti lkn niwe muwazi kwamba ninaiona nyota ya Mtangazaji huyu wa Star TV iking'aa kwani anaonesha ana kipaji cha pekee, KILA HERI IVONA
kwa jinsi anavyofanya kazi yake vizuri, nimeona ameanza kuaminiwa na kupewa majukumu makubwa (mzigo mzito mpe mnyamwezi)
kwa jinsi anavyofanya kazi yake vizuri, nimeona ameanza kuaminiwa na kupewa majukumu makubwa (mzigo mzito mpe mnyamwezi)
Jina ya kinyarwanda hiyo
Ana pozi za kitoto halafu anajiona kama keshakuwa staa. Mbaya zaidi anapenda kujiweka humu kupitia ID hizo za kina amavubi kupima watu wanamchukuliaje. Ukweli ni kwamba kwa mbwembwe hizo huwezi fika popote.waliofika mbali hawakutumia njia za kitoto kama hizo. Usidanganywe na watu kama unataka kufika mbali kwenye hiyo taaluma piga mzigo usidanganywe wewe kwa sasa ni wa kawwaida sana japo unaweza fika mbali ukiacha mbwembwe na mashauzi ya kubinuabinua midomo as if unamtangazia mumeo tu hapo kwenye tv..
fuatilia star tv mkuu, au ndio wewe nini? Naona una tashwishi kubwa ya kujua
Jina ya kinyarwanda hiyo