kila kitu bahati mbaya

wakitei

Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
77
Reaction score
4
police wameua watu arusha wakasema : Ni bahati mbaya;wakaua Nyamongo wakasema Ni bahati mbaya : wakaua Tabora wakasema "Bahati mbaya "wakaua Mbalali wakasema : bahati mbaya umeme hdarura isiyoisha bahati mbaya umekatika mwanza siki sita usiku na mchana wakasema Bahati mbaya tumechoka kila siku bahati mbaya nawuliza lini itakuwa bahati nzuri ?
 
Ukitaka kupata "bahati nzuri" chagua CDM 2015!!
 
wasomi mwandikieni okampo aje huku tz la sivyo tutamalizika.
 
Vigeugeu! Paka wangu kigeugeu,bosi wangu kigeugeu,bibi yangu kigeugeu,dereve wangu kigeugeu!!wananigeukia!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…