Kila anayemgusa Lisu kwa ubaya, "ANANUKA".

Kila anayemgusa Lisu kwa ubaya, "ANANUKA".

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
27,640
Reaction score
65,111
1. Askari magereza aliyemsukuma Lisu, alinuka mpk kufikia hatua ya kuchomwa kisu na kufariki.
2. Ndugai aliyemsulubu Lisu kwa kumnyima stahiki zake, alinuka mpk kufikia hatua ya kulazimishwa kujiuzulu uspika. Na sasa amefariki.
3. Jiwe aliyepiga marufuku wanaccm kwenda kumuona Lisu hospitalini Nairobi, alikatwza watu kumchangia damu na alikataza watu kumuombea. Alinuka mpk akafariki.
4. Mbowe aliyejaribu kumng'oa Lisu chadema kwa hila, amenuka kiasi kwamba anaogopa hata kusalimiana na watu. Mtu aliyekuwa prominent figure amegeuka kuwa kichekesho.
5. Samia kabla ya kumkamata Lisu na kumbambikia kesi uchwara ya uhaini alikuwa ni kiongozi anayezungumzika. Lkn baada ya kufanya hila hizo Samia amenuka, tena amenuka kweli kweli kiasi kwamba mpk ndani ya chama chake hawamtaki. Soon, very very soon Samia atageuka kuwa kituko.

Membe (rip) alijipachika jina la NIGUSE NINUKE, lakini huyu Lisu apachikwe jina la NIGUSE UNUKE.
 
mmh, hizo taarifa za afande aliyemsukuma lisu kuchomwa kisu na sasa ni marehemu, umezipata wapi mkuu?
Mkuu umepitwa sana mkuu. Wiki iliyopota ilikuwa ndiyo habari ya mjini. Unadhani kwann mara ya mwisho kwann askari magereza walikuwa wanakaa mbali na Lisu pale mahakamani?
 
Mkuu umepitwa sana mkuu. Wiki iliyopota ilikuwa ndiyo habari ya mjini. Unadhani kwann mara ya mwisho kwann askari magereza walikuwa wanakaa mbali na Lisu pale mahakamani?
kiukweli sijasikia na alichomwa kisa nni nanani?
 
1. Askari magereza aliyemsukuma Lisu, alinuka mpk kufikia hatua ya kuchomwa kisu na kufariki.
2. Ndugai aliyemsulubu Lisu kwa kumnyima stahiki zake, alinuka mpk kufikia hatua ya kulazimishwa kujiuzulu uspika. Na sasa amefariki.
3. Jiwe aliyepiga marufuku wanaccm kwenda kumuona Lisu hospitalini Nairobi, alikatwza watu kumchangia damu na alikataza watu kumuombea. Alinuka mpk akafariki.
4. Mbowe aliyejaribu kumng'oa Lisu chadema kwa hila, amenuka kiasi kwamba anaogopa hata kusalimiana na watu. Mtu aliyekuwa prominent figure amegeuka kuwa kichekesho.
5. Samia kabla ya kumkamata Lisu na kumbambikia kesi uchwara ya uhaini alikuwa ni kiongozi anayezungumzika. Lkn baada ya kufanya hila hizo Samia amenuka, tena amenuka kweli kweli kiasi kwamba mpk ndani ya chama chake hawamtaki. Soon, very very soon Samia atageuka kuwa kituko.

Membe (rip) alijipachika jina la NIGUSE NINUKE, lakini huyu Lisu apachikwe jina la NIGUSE UNUKE.
Kifaru kwa lugha ya nyumbani kwao ana balaa.

2020 wakati wa uchaguzi ,akiambatana na Mbowe alifika Mbeya nami nilikua Mbeya ,so akitoke mbalizi alifika Nzovye kufungua Msingi ,mimi nilikua mbele , ndugu zangu ,alipo fika kumuona tu mwili ulinza kutetemeka , nikajirudisha nyuma .

Kwa sie watu wa Mungu nikajua upako upo juu sana .

Nawaurumia askari Magereza wanaoishi naye huko Ukonga hii sio kwa utani huyu Ndugu nimemuona katika roho mtakatifu sio wengi wanaweza jua ,hasa wabwabwaji
 
Pepo mchafu (Israel mtoa roho ) alimpanda na kuanzisha ugomvi na kijana wa bodaboda, kisha akapigwa kisu na kujikuta kaenda peponi
😁😁😁 eti kajikuta kaenda peponi,
Kwahiyo tutegemee mabaya zaidi kumkuta Samia??
 
Duh, kumbe yule askari magereza alishapita hivi? Lkn na yy kwann alimfanyia home boy vile na angali anajua kabisa huyu home boy. Angalia katangulia yy sasa kurudishwa nyumbani.
 
😁😁😁 eti kajikuta kaenda peponi,
Kwahiyo tutegemee mabaya zaidi kumkuta Samia??
Si unaona anavyonuka nchi nzima kwa sasa?? Hata akina bibi wa Kantalamba, Nanyumbu na Nanguruwe huko hawamtaki Samia
 
1. Askari magereza aliyemsukuma Lisu, alinuka mpk kufikia hatua ya kuchomwa kisu na kufariki.
2. Ndugai aliyemsulubu Lisu kwa kumnyima stahiki zake, alinuka mpk kufikia hatua ya kulazimishwa kujiuzulu uspika. Na sasa amefariki.
3. Jiwe aliyepiga marufuku wanaccm kwenda kumuona Lisu hospitalini Nairobi, alikatwza watu kumchangia damu na alikataza watu kumuombea. Alinuka mpk akafariki.
4. Mbowe aliyejaribu kumng'oa Lisu chadema kwa hila, amenuka kiasi kwamba anaogopa hata kusalimiana na watu. Mtu aliyekuwa prominent figure amegeuka kuwa kichekesho.
5. Samia kabla ya kumkamata Lisu na kumbambikia kesi uchwara ya uhaini alikuwa ni kiongozi anayezungumzika. Lkn baada ya kufanya hila hizo Samia amenuka, tena amenuka kweli kweli kiasi kwamba mpk ndani ya chama chake hawamtaki. Soon, very very soon Samia atageuka kuwa kituko.

Membe (rip) alijipachika jina la NIGUSE NINUKE, lakini huyu Lisu apachikwe jina la NIGUSE UNUKE.

Amen,list inaendelea
 
Kuna pattern anazo Lissu ambazo wabaya wake watakuja kuelewa muda ukiwa umeshaenda sana, si mtu wa kawaida yule.
 
Back
Top Bottom