Kila aguswaye na pendo





ladyfurahia hivi tuko wangapi jamani??? Mimi sikubali
 
Last edited by a moderator:
hoo! nilisahau nilitaka kusema hivyohivyo signature lakini mkono ulitereza katika kutype, ila naomba tushare hiyo kama hutojali
 
huyu ni my husband halisi tena pyua, ila amekuwa ni kiruka njia na ananiuzi kwa tabia yake hii kwani kila amuonaye machoni pake hataki hampite hivihivi hiyo yote ni kutokana na ulimbukeni wake wa kimapenzi lakini mm ajue kuwa alinitoa kwetu na wala hataniacha kamwe, hivyo tambua kuwa hatuko wengi ni mm mwenyewe tu na hata wewe anakudanganya kwani mm ndiye mkewe wa ndoa kabisa hao wengine anajitafutia maradhi huyu na kutaka kuniangamiza bure acha nimpeleke wkwa wazee wamfundishe adabu
ladyfurahia hivi tuko wangapi jamani??? Mimi sikubali
 
hoo! nilisahau nilitaka kusema hivyohivyo signature lakini mkono ulitereza katika kutype, ila naomba tushare hiyo kama hutojali

Yaani hilo tu kushare signature ndio hadi uombe ruhusa, hapana feel free to use it as many as you can, chanzo cha hayo maneno sio mimi, bali ni kitabu kitakatifu cha Mungu, so tuyatumie vizuri kama yalivyo mapenzi yake.

Kuna vya kuomba kushare na kusubiri hadi ruhusa itolewe lakini sio maneno kama hayo, have a nice day.
 
Nivea

Today 14:46
#54

BannedArray


Join Date : 21st May 2012
Posts : 5,680
Rep Power : 0
Likes Received3132
Likes Given4053


Re: Kila aguswaye na pendo..




Nivea ar yuuu banned?!?!?
MAMA NIMETOKA SELLO HAHHAHAHAH
CHEZEA MANENO MICHAFU HII
JamiiForums Message

You have been banned for the following reason:
wewe ni wale wanaume tunao waita dume la mbwa .no argument kakojoe ulale njaa inakusumbua na akili ndogo kama ya bundi.na umaskini umekuja mjini ukitegemea domo likutunze ndio hasara zake hizi
Date the ban will be lifted: 24th May 2013, 15:00
 
nikikumbuka inanitia majonzi na na kunisababishia niwe na tone la machozi
lugha nyororo mithili ya baragumu njema itokayo angani
kweli acha niimbe wimbo wa ben pol
mtima wangu ni wewe x2
 
Oooh how sweet...! Happy birthday ladyfurahia
 
ilikuwa mwaka jana bestito subiria ya birthday ya mwaka huu
kama ikimpendeza Mungu kuuona tena nna kufurahia bday mpya
na ya safari hii lazima TEAM Bazazi wawepo wakiniimbia wimbo
maana my :embarassed2: yuko kwenye group hilo wamemuweka bila hata huruma
Oooh how sweet...! Happy birthday ladyfurahia
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday to ladyfurahia... nakutakia furaha leo na siku zote
 
Utakuta japo unampenda ila MCHEPUKO hukosi.....hapo ndio pakuuliza je unamlinda?



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…