DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Mhe Dkt Jakaya Mrisho kikwete amesema kuwa anaamini Bunge lijalo wabunge wa Pwani wote watakuwa wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) na pia anaamini hiyo itakuwa Kwa Nchi nzima.
Dkt. Jakaya ameyasema hayo Leo Sept 28,2025 Kiwanja Cha Sabasaba Kibaha Mkoani Pwani Kwenye Mwendelezo wa Mikutano ya Kampeni za uchaguzi Mkuu 2025 ya Dkt. Samia Suluhu Hassan
Aidha Dkt. Jakaya amesema kuwa watu wa Pwani hawapo tayari kuchanganya Pumba na Mchele kwani wanayajua madhara yake na hawatathubutu kufanya hivyo.
Dkt. Jakaya ameyasema hayo Leo Sept 28,2025 Kiwanja Cha Sabasaba Kibaha Mkoani Pwani Kwenye Mwendelezo wa Mikutano ya Kampeni za uchaguzi Mkuu 2025 ya Dkt. Samia Suluhu Hassan
Aidha Dkt. Jakaya amesema kuwa watu wa Pwani hawapo tayari kuchanganya Pumba na Mchele kwani wanayajua madhara yake na hawatathubutu kufanya hivyo.