GE2025 Kikwete: Wabunge wote wa Pwani bunge lijalo watatoka CCM, hatuko tayari kuchanganya pumba na mchele

GE2025 Kikwete: Wabunge wote wa Pwani bunge lijalo watatoka CCM, hatuko tayari kuchanganya pumba na mchele

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Mhe Dkt Jakaya Mrisho kikwete amesema kuwa anaamini Bunge lijalo wabunge wa Pwani wote watakuwa wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) na pia anaamini hiyo itakuwa Kwa Nchi nzima.

Dkt. Jakaya ameyasema hayo Leo Sept 28,2025 Kiwanja Cha Sabasaba Kibaha Mkoani Pwani Kwenye Mwendelezo wa Mikutano ya Kampeni za uchaguzi Mkuu 2025 ya Dkt. Samia Suluhu Hassan

Aidha Dkt. Jakaya amesema kuwa watu wa Pwani hawapo tayari kuchanganya Pumba na Mchele kwani wanayajua madhara yake na hawatathubutu kufanya hivyo.
 
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Mhe Dkt Jakaya Mrisho kikwete amesema kuwa anaamini Bunge lijalo wabunge wa Pwani wote watakuwa wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) na pia anaamini hiyo itakuwa Kwa Nchi nzima.

Dkt. Jakaya ameyasema hayo Leo Sept 28,2025 Kiwanja Cha Sabasaba Kibaha Mkoani Pwani Kwenye Mwendelezo wa Mikutano ya Kampeni za uchaguzi Mkuu 2025 ya Dkt. Samia Suluhu Hassan

Aidha Dkt. Jakaya amesema kuwa watu wa Pwani hawapo tayari kuchanganya Pumba na Mchele kwani wanayajua madhara yake na hawatathubutu kufanya hivyo.
Kwani uchaguzi wa mwaka huu CCM watakuwa wanashindana na nani mpaka wakose jimbo?
 
Kwani uchaguzi wa mwaka huu CCM watakuwa wanashindana na nani mpaka wakose jimbo?
2015 CCM ilipata viti vingi zaidi kuliko vyama vingine ila ulikua msimu bora zaidi kwa vyama vya upinzani. Hata kama uchaguzi utasimamiwa na UN bado kwa mazingira yaliyopo kwenye vyama vya upinzani ya kupoteza muda mwingi kulalamika badala ya kujijenga kwenye ngazi za chini bado hawawezi kupata viti vingi kuliko CCM.
 
2015 CCM ilipata viti vingi zaidi kuliko vyama vingine ila ulikua msimu bora zaidi kwa vyama vya upinzani. Hata kama uchaguzi utasimamiwa na UN bado kwa mazingira yaliyopo kwenye vyama vya upinzani ya kupoteza muda mwingi kulalamika badala ya kujijenga kwenye ngazi za chini bado hawawezi kupata viti vingi kuliko CCM.
Sahihi kabisa,

Kama Upinzani hauwezi kupata mbunge hata mmoja kwenye mkoa mzima kama wa Pwani; unategemea nini...

Ukifanya analysis CCM wamekuwa na uhakika wa ku-sweep mikoa karibu 15 kila uchaguzi (hata ule uchaguzi mgumu wenye nguvu ya Lowassa + upinzania wa 2015).

Hauoni upinzani wote kwa ujumla mfano ukipata jimbo hata 1 kwenye mikoa ya Dodoma, Lindi, Mtwara, Tabora, Simiyu, Shinyanga, Pwani, Katavi, Ruvuma, Njombe, Tanga, Bila
Kusahau Singida (huwa wanapata jimbo 1 tu, Mwanza huwa wanapata jimbo 1 tu la Nyamagana, Mbeya huwa wanapata jimbo moja tu la Mbeya Mjini, Iringa huwa wanapata jimbo moja tu la Iringa Mjini (yaani hata Lukuvi hawamwezi), Rukwa wanaweza kupata jimbo 1 tu, Songwe wana jimbo moja tu la Tunduma.

Sasa imagine CCM wanaingia kwenye uchaguzi wana mikoa zaidi ya 18 wakiwa na comanding lead (solid green) inayotosha ku control Bunge..??? Na kumbuka Nchi yetu watu wanavote kwa tiketi - maana yake Uraisi pia automatically mgombea wao anapata.

Upinzani unatakiwa kupmbana sana aisee kujenga imani hasa kule chini, kule vijijini, kujenga wagimbea wanaoaminika,
 
Sahihi kabisa,

Kama Upinzani hauwezi kupata mbunge hata mmoja kwenye mkoa mzima kama wa Pwani; unategemea nini...

Ukifanya analysis CCM wamekuwa na uhakika wa ku-sweep mikoa karibu 15 kila uchaguzi (hata ule uchaguzi mgumu wenye nguvu ya Lowassa + upinzania wa 2015).

Hauoni upinzani wote kwa ujumla mfano ukipata jimbo hata 1 kwenye mikoa ya Dodoma, Lindi, Mtwara, Tabora, Simiyu, Shinyanga, Pwani, Katavi, Ruvuma, Njombe, Tanga, Bila
Kusahau Singida (huwa wanapata jimbo 1 tu, Mwanza huwa wanapata jimbo 1 tu la Nyamagana, Mbeya huwa wanapata jimbo moja tu la Mbeya Mjini, Iringa huwa wanapata jimbo moja tu la Iringa Mjini (yaani hata Lukuvi hawamwezi), Rukwa wanaweza kupata jimbo 1 tu, Songwe wana jimbo moja tu la Tunduma.

Sasa imagine CCM wanaingia kwenye uchaguzi wana mikoa zaidi ya 18 wakiwa na comanding lead (solid green) inayotosha ku control Bunge..??? Na kumbuka Nchi yetu watu wanavote kwa tiketi - maana yake Uraisi pia automatically mgombea wao anapata.

Upinzani unatakiwa kupmbana sana aisee kujenga imani hasa kule chini, kule vijijini, kujenga wagimbea wanaoaminika,
Huwezi kupima kwa sasa bila kuwa na mazingira fair.

Pekee ambacho ni fair je CCM imefanya nini? Tuipime yenyewe dhidi ya ilani yake, dhidi ya uhitaji wa maendeleo ya watu
 
Ina maana vyama shikizi hawatapata hata jimbo moja? Zito ni wa kukosa ubunge kigoma kweli?
 
2015 CCM ilipata viti vingi zaidi kuliko vyama vingine ila ulikua msimu bora zaidi kwa vyama vya upinzani. Hata kama uchaguzi utasimamiwa na UN bado kwa mazingira yaliyopo kwenye vyama vya upinzani ya kupoteza muda mwingi kulalamika badala ya kujijenga kwenye ngazi za chini bado hawawezi kupata viti vingi kuliko CCM.
Mkuu sijui hujaelewa swali au umefanya makusudi? Nimekuuliza tu swali kuwa kwa uchaguzi wa 2025 Ccm watakuwa wanapambana na chama gani ambacho kitafanya Ccm wasichukue majimbo yote?
 
Sahihi kabisa,

Kama Upinzani hauwezi kupata mbunge hata mmoja kwenye mkoa mzima kama wa Pwani; unategemea nini...

Ukifanya analysis CCM wamekuwa na uhakika wa ku-sweep mikoa karibu 15 kila uchaguzi (hata ule uchaguzi mgumu wenye nguvu ya Lowassa + upinzania wa 2015).

Hauoni upinzani wote kwa ujumla mfano ukipata jimbo hata 1 kwenye mikoa ya Dodoma, Lindi, Mtwara, Tabora, Simiyu, Shinyanga, Pwani, Katavi, Ruvuma, Njombe, Tanga, Bila
Kusahau Singida (huwa wanapata jimbo 1 tu, Mwanza huwa wanapata jimbo 1 tu la Nyamagana, Mbeya huwa wanapata jimbo moja tu la Mbeya Mjini, Iringa huwa wanapata jimbo moja tu la Iringa Mjini (yaani hata Lukuvi hawamwezi), Rukwa wanaweza kupata jimbo 1 tu, Songwe wana jimbo moja tu la Tunduma.

Sasa imagine CCM wanaingia kwenye uchaguzi wana mikoa zaidi ya 18 wakiwa na comanding lead (solid green) inayotosha ku control Bunge..??? Na kumbuka Nchi yetu watu wanavote kwa tiketi - maana yake Uraisi pia automatically mgombea wao anapata.

Upinzani unatakiwa kupmbana sana aisee kujenga imani hasa kule chini, kule vijijini, kujenga wagimbea wanaoaminika,
Tuwe wakweli kwa ushindani upi?
Kwa mfano sshv cdm wasingefungiwa ingekuaje?
 
Mzee anazeeka vibaya sana huyu
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Mhe Dkt Jakaya Mrisho kikwete amesema kuwa anaamini Bunge lijalo wabunge wa Pwani wote watakuwa wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) na pia anaamini hiyo itakuwa Kwa Nchi nzima.

Dkt. Jakaya ameyasema hayo Leo Sept 28,2025 Kiwanja Cha Sabasaba Kibaha Mkoani Pwani Kwenye Mwendelezo wa Mikutano ya Kampeni za uchaguzi Mkuu 2025 ya Dkt. Samia Suluhu Hassan

Aidha Dkt. Jakaya amesema kuwa watu wa Pwani hawapo tayari kuchanganya Pumba na Mchele kwani wanayajua madhara yake na hawatathubutu kufanya hivyo.
Kikwete ndo wale wazee tuliosoma kwenye historia, walikuwa wanauza wa Africa wenzao kwa wazungu. Roho zilizojaa ubinafsi, tamaa, ulafi na ukatili.
 
Tuwe wakweli kwa ushindani upi?
Kwa mfano sshv cdm wasingefungiwa ingekuaje?
Bado mikoa niliyoitaja CDM hawawezi kutoa ushindani wowote; (mfano mikoa yote ya Pwani na kusini - Ukitoa Dar, CDM hawawezi kupata chochote), mikoa ya kanda ya kati, mikoa ya Usukumani, Zanzibar yote na hata mikoa ya nyanda za juu kusini. Wana mikoa michache, majimbo machache sana ya Mara, Arusha, kilimanjaro, Manyara, Songwe, Mbeya, labda Geita kidogo sana, hata Kigoma - hawana nguvu. unajua shida kubwa watu wengi wana mhemko hawafanyi analysis bila kuegemea kwenye upande.

Ukisikiliza interview ya Fr. Kitima na jambo TV alisema bado CCM wana comanding lead ya over 70% ukifanya analysis. Tatizo CCM wanataka kushinda asilimia 90+ huo ndio mgogoro wanaojitengenezea.
 
Huwezi kupima kwa sasa bila kuwa na mazingira fair.

Pekee ambacho ni fair je CCM imefanya nini? Tuipime yenyewe dhidi ya ilani yake, dhidi ya uhitaji wa maendeleo ya watu
Bado mikoa niliyoitaja CDM hawawezi kutoa ushindani wowote; (mfano mikoa yote ya Pwani na kusini - Ukitoa Dar, CDM hawawezi kupata chochote), mikoa ya kanda ya kati, mikoa ya Usukumani, Zanzibar yote na hata mikoa ya nyanda za juu kusini. Wana mikoa michache, majimbo machache sana ya Mara, Arusha, kilimanjaro, Manyara, Songwe, Mbeya, labda Geita kidogo sana, hata Kigoma - hawana nguvu. unajua shida kubwa watu wengi wana mhemko hawafanyi analysis bila kuegemea kwenye upande.

Ukisikiliza interview ya Fr. Kitima na jambo TV alisema bado CCM wana comanding lead ya over 70% ukifanya analysis. Tatizo CCM wanataka kushinda asilimia 90+ huo ndio mgogoro wanaojitengenezea.
 
Back
Top Bottom