The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
umeshindwa kuongoza. umefeli. umefulia. huna vision. unaongoza nchi kwa mtindo wa bora liende. Rais hujui hata unatakiwa ufanye nini na usifanye nini wakati gani na wapi. kwa kutokujua yote haya, sasa umeanza siasa chafu za jirani yako Kagame. siasa za kukandamiza wanaokupinga.
its too late bro. ndege isha paa hiyo.
jiulize upya. na kama ni ushauri wa kagame au museveni, nenda tena kawaambie 'dawa waliyokupa ni sumu'.
kaa. hesabu siku zako za kupanga magogoni kwa wema na amani. nchi hii siyo ya kikwete na mwema. nchi hii ni ya watanzania. na wala wewe na mwema wako hamuna ubavu wa kutuamulia chama, serikali au viongozi tunaowataka.
viongozi wetu wa upinzani tunawathamini na kuwaheshimu kuliko wewe. laiti kama ungejua hili bila shaka usingethubutu kuruhusu dola ya polisi kujiingiza kwenye siasa. maana mwisho wa siku wewe na shemeji yako mwenma mtaishia kwa Ocampo.
dunia inaona.
majira yanatika.
majira na nyakati havizuiliki mkuu. utafika wakati utakapojuta kuwahi kuwa rais wa tanzania.
its too late bro. ndege isha paa hiyo.
jiulize upya. na kama ni ushauri wa kagame au museveni, nenda tena kawaambie 'dawa waliyokupa ni sumu'.
kaa. hesabu siku zako za kupanga magogoni kwa wema na amani. nchi hii siyo ya kikwete na mwema. nchi hii ni ya watanzania. na wala wewe na mwema wako hamuna ubavu wa kutuamulia chama, serikali au viongozi tunaowataka.
viongozi wetu wa upinzani tunawathamini na kuwaheshimu kuliko wewe. laiti kama ungejua hili bila shaka usingethubutu kuruhusu dola ya polisi kujiingiza kwenye siasa. maana mwisho wa siku wewe na shemeji yako mwenma mtaishia kwa Ocampo.
dunia inaona.
majira yanatika.
majira na nyakati havizuiliki mkuu. utafika wakati utakapojuta kuwahi kuwa rais wa tanzania.