Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Kikwete amekuwa mtu wa dhihaka hata sehemu zisizokuwa za dhihaka unafanya dhihaka.
Watanzania tunatakiwa tujilaumu sisi wenye kwa kumchagua Kikwete 2005 kutokana na sura yake sio upigaji wa kazi. Tulilamba Garasa badala ya Mzungu. Kwani hata Baba Wa Taifa ( Mungu Amlaze mahala pema) alituonya kuwa rais hachaguliwi kwa sura yake bali kwa matendo.
Huwezi kuwaambi Waalifu kuwa warudishe pesa za EPA halafu watasemehewa, Kauli ya Jana kuhusu Mapadri kuwa waache kuwatumia vijana kuuza madawa ni kauli ya Dhihaka, Kama wapo waalifu wacha sharia iichukuwe mkondo wake sio kuwatisha watu wazima NYAU. Tangu lini Kikwete ukawa msemaji wa Polisi, Wizara? Kauli zako ni za kejeli na unatudhihaki Kikwete.
Utawatisha watu mpaka lini Kikwete wakati Kitengo cha kuzuia Madawa ya Kulevya kipo, Jeshi la Polisi lipo, Sheria Zipo, Mahakama Zipo lakini mbona kila kitu unataka kukizungumzia wewe? Je hao uliwaajiri wanakazi gani?
Mwaka 2005 tuliramba Garasa, 2010 tukarambishwa Garasa tena kinguvu na Tendwa tukabisha mwisho tutakubali. Sasa Madhara yake tunayaona yanaathiri Maisha yetu na Taifa kwa Ujumla. Mikataba ya Kuifisadi nchi yetu wanatilia Nyumbani kwetu Magogoni kwa miaka 100, Je hapo watoto, wajukuu, vitukuu vyetu watakuwa na maisha? Tumewaandalia maisha gani hao wanaokuja ikiwa baadhi yenu wakina Kikwete na wenzako mnaifisadi nchi kwa manufaa yenu, si watatuona sisi wapumbavu?
Kikwete kama umeshindwa nasi tunaomba nchi yetu utuachie kwa nia nzuri sio kutuharibia kwa Manufaa yako
Nawasilisha
Garasa linatupeleka pabaya
Watanzania tunatakiwa tujilaumu sisi wenye kwa kumchagua Kikwete 2005 kutokana na sura yake sio upigaji wa kazi. Tulilamba Garasa badala ya Mzungu. Kwani hata Baba Wa Taifa ( Mungu Amlaze mahala pema) alituonya kuwa rais hachaguliwi kwa sura yake bali kwa matendo.
Huwezi kuwaambi Waalifu kuwa warudishe pesa za EPA halafu watasemehewa, Kauli ya Jana kuhusu Mapadri kuwa waache kuwatumia vijana kuuza madawa ni kauli ya Dhihaka, Kama wapo waalifu wacha sharia iichukuwe mkondo wake sio kuwatisha watu wazima NYAU. Tangu lini Kikwete ukawa msemaji wa Polisi, Wizara? Kauli zako ni za kejeli na unatudhihaki Kikwete.
Utawatisha watu mpaka lini Kikwete wakati Kitengo cha kuzuia Madawa ya Kulevya kipo, Jeshi la Polisi lipo, Sheria Zipo, Mahakama Zipo lakini mbona kila kitu unataka kukizungumzia wewe? Je hao uliwaajiri wanakazi gani?
Mwaka 2005 tuliramba Garasa, 2010 tukarambishwa Garasa tena kinguvu na Tendwa tukabisha mwisho tutakubali. Sasa Madhara yake tunayaona yanaathiri Maisha yetu na Taifa kwa Ujumla. Mikataba ya Kuifisadi nchi yetu wanatilia Nyumbani kwetu Magogoni kwa miaka 100, Je hapo watoto, wajukuu, vitukuu vyetu watakuwa na maisha? Tumewaandalia maisha gani hao wanaokuja ikiwa baadhi yenu wakina Kikwete na wenzako mnaifisadi nchi kwa manufaa yenu, si watatuona sisi wapumbavu?
Kikwete kama umeshindwa nasi tunaomba nchi yetu utuachie kwa nia nzuri sio kutuharibia kwa Manufaa yako
Nawasilisha
Garasa linatupeleka pabaya