tena anatuchanganya maradufu maana hakuna hata taasisi ya serikali ambayo inafanya kazi mambo yamenyooka.
1.umeme taabu,maji taabu,nssf na ppf taabu,police taabu,halmashuri zote taabu,madini taabu,mbuga za wanyama taabu,mfumuko wa bei shida,shirika la ndege hoi,shilingi ya tanzania kushukaaa lakini wazungu wanatusifu wakati wakifika kwetu huweka vitambaa mdomoni kwa hewa chafu za vumbi na takataka mijini.
why i have born in Tanzania?????????????????????????????