Kinjekitile junior
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 4,404
- 581
Katika mahubili ya Fadher mmoja . Alitufundisha katika kutenda tufanye mambo yanagusa maisha ya watu kwa maana ya kuyajenga bila yakuyaharibu. Nitamkubuka Rais Kikwete kwa kuyagusa maisha yangu kupitia kwa Waziri wake Lukuvi pamoja Na Halima mdee .Mungu Awazidishieeee
Mkuu kuna watu watakupinga aisee, we subiri tu wanakuja!lakini najua utawashinda tu!