sasa hakuna ubishi tena kwamba rais wetu ataondoka madarakani mwishoni mwa mwaka huu, licha ya tetesi kwamba angejiongezea muda ili akamilishe mchakato wa katiba mpya aliouanzisha, tumeshindwa kujua ni kwa nini rais wetu alishindwa kusimama wima haswa mwishoni mwishoni kama alivyokua ameanza mwanzo kwa uteuzi makini wa wajumbe wa kukusanya maoni.eneo hili la katiba mpya ndilo lilionekana kumpa alama nyingi mh kikwete kama angefaulu kuwapatia watanzania katiba mpya waliyokuwa wanaingoja kwa hamu kubwa, lkn kwa bahati mbaya au nzuri rais wetu alishindwa kusimamia mchakato huu vizuri licha matamko yake mazuri aliyokua ameyatoa tangu mwanzo, mf rais alituambia wana ccm tujiandae kisaikolojia juu ya jambo hili kwa sababu watanzania wanaweza kuamua tofauti, sasa wakati huu rais wangu anapokwenda kuhitimisha ngwe yake watanzania tutamkumbuka kwa lipi kubwa kama rais wa nchi.
Sasa hakuna ubishi tena kwamba rais wetu ataondoka madarakani mwishoni mwa mwaka huu, licha ya tetesi kwamba angejiongezea muda ili akamilishe mchakato wa katiba mpya aliouanzisha, tumeshindwa kujua ni kwa nini rais wetu alishindwa kusimama wima haswa mwishoni mwishoni kama alivyokua ameanza mwanzo kwa uteuzi makini wa wajumbe wa kukusanya maoni.Eneo hili la katiba mpya ndilo lilionekana kumpa alama nyingi mh kikwete kama angefaulu kuwapatia watanzania katiba mpya waliyokuwa wanaingoja kwa hamu kubwa, lkn kwa bahati mbaya au nzuri rais wetu alishindwa kusimamia mchakato huu vizuri licha matamko yake mazuri aliyokua ameyatoa tangu mwanzo, mf rais alituambia wana ccm tujiandae kisaikolojia juu ya jambo hili kwa sababu watanzania wanaweza kuamua tofauti, sasa wakati huu rais wangu anapokwenda kuhitimisha ngwe yake watanzania tutamkumbuka kwa lipi kubwa kama rais wa nchi.
Atakumbukwa kwa kung'oa watu kucha kwa praise bila ganzi pamoja na meno,pia kutoboa watu macho!
Safari za nje zisizo na tija kwa taifa huku nyingine akiziita za kuaga wahisani.
BRN ya safari za rais .
Tutabaki na nyimbo za diamond
Sibonike umenena.
mimi nitamkumbuka kwa kingereza chake cha kuunga unga.
Kenshi umenichekesha, matatizo yanaweza kujimaliza lkn nakubali hiyo ndio staili yake kwa sasa, yanakuja anayanyamazia.