Kikwete unamuogopa Mwakyembe

Mwakyembe HAJAKEMEA Uovu wowote. Ni rafiki tu wa vyombo vya habari, hivyo anaripotiwa zaidi ya wenzake! Sasa atuambie waliomtegea huko Ihemi Iringa mwaka ule, wakampaka poda pale kazini kwake mpaka akapewa kofia kule India. Mbona yu kimya mpaka leo? Kwa sababu ya "zawadi" ya Uwaziri? Ama kweli hizi ni Pepo za mabwege!
 
Jamani haya yote,wamaweza kua saw a au si sawa,ila nijuavyo mm kwa maoni yangu mwakwembe kahamishwa wizara kwa kua wakubwa Fulani walikua wanashindwa kupitisha poda zao hapa D.I.A kwani Hali ilikua ngumu sana na wapo wanajulikana ss kwa shinikizo lao hao mazungu Wa poda walimshauri Mzee tutolee huyu kiumbe hapa watu tufanye mambo wetu mbona inajulikana
 

Uhhhmmmmm!!
 

Falsifying the truth!!!
 
Hivi JK unataka tukukumbuke kwa lipi?? Mnona kila kitu unafanya kwa mapenzo yako binafsi badala ya kuangalia wananchi wako??? .

Safari 500 za Ulaya na Marekani katika kipindi chake ya urahisi kututafutia wapiga kura wake chakula tusife njaa! Yaani kwa lugha nyepesi 'da Gama of the 21st Century'🙁
 
Wakiyembe hamna kitu yule yeye anapenda kufanya kaz na vyombo vya habar kama alikuwa na ninia ya kufufuwa reli nchin mbona aliwaacha menejiment ya tazara kuiuwa tazara
 
Mkuu pixel shida ya watu wa Mabunga Kisale mpaka Kafundo ni shida aswa hata zahanati kwa vijiji hivi hamna isipokuwa zahanati ya Ngamanga.

kazi kweli kweli.

Hilo mkuu nakubaliana na nyie,pianieni haki zenu mpaka mwisho,piganieni maendeleo ya kyela yenu.mimi napinga kutumia uwaziri ili kuipendelea kyela kwa meli kama alivyoandika mleta mada kabla hajafuta na kuandika upya.
 
Falsifying the truth!!!
Ngurubhe...... Huo ndio ukweli mchungu. Nilichofanya ni kuacha ushabiki na kuelezea FACTS na sio kutoa hoja kwa hisia.

wewe nenda kwenye kila fact...niambie wapi ni uwongo....
..Bath 13&14 zimejengwa? Zipo wapi?

Reli ya Kati ishajengwa? Ipo wapi? Na je ni uwongo kwamba Rwanda na Uganda sasa wameamua kuweka matumaini yaomkwenye reli ya Kenya badala ya Tanzania?

ATCL ishatoka ICU? Ipo wapi?

Meli za uhakika katika ziwa Victoria na Tanganyika zishapelekwa? Zipo wapi?

Mkurugenzi Mkuu wa Bandari keshateuliwa? Ameteuliwa lini? Ninajua aliyepo anakaimu

niambie huo ukweli uliokuwa faslified ni upi? Tusipende kusifia vitu hewa........
 
Inaniuma sanaa Mwakyembe kubadilishwa sasa usafiri wa Treni ndio mwisho wake na mabasi ni ghali sijui nitaweza
 
Asee,mwakyembe ni mbunge wangu na mbaya zaidi ni jirani yangu nyumba ya tatu toka kwao ikolo kwa mama yake njia ya kwenda ngonga,hii n kwa faida ya wadau humu kule hakana alichofanya,kna manomba ya maji kila baada ya nyumba kumi yalijengengwa na wananchi miaka thelathini iliyopita kwa hisani ya mfuko flan wa jamii ndo pekee ukija kyela tena ikolo utakuta bara bara ni mbovu za zaman sana tena kuelekea bandarini na njia ni kokoto kwa upandea wa njia ya kwao inayopita uani kwao yaani nyumba yao n.kama jeng la benjamin mkapa afu bar bar ni ile ya nje pale ila ni ya vumbi,maji hakna tena mabomba yameziba,umeme hakna,mashirika na vikundi vidogo vya uuzaji wa kokoa vmekufa na magodwn pia yamekua magofu ambayo yalkua n sehm ya uchumi wa watu wa kyela...kwa kweli niljarbu kwend kukutana na badhi ya wadau wa chama na weny viti wa vijiji asee ni tatzo kwao pamoja na kua team mwakyembe ila shida zile za kule zmewavaa japo kyela n wilaya yenye utajir mkubwa sana na rasilimali nyingi haiitaji jambo kubwa sanaaa kufanya maisha ya wanakyela ambao kwa ssa n mchanyiko wa makabila karbu yote na mchaga na mkinga na mmakonde akiweka makaz kwa ajili ya biashar kufanya kyela iwe juu na nzr.na iwe ni sehem inayochangia pato la taifa kwa kiwango cha juu..ssa kiongoz anajenga nyumban kwanz na nje pia ssa kwa kweli mr kule kaacha kama alivyokuta sana sana jiran yetu pale mr mwamunyange mkuu wa majeshi ndo kidogoo kafany kitu sio yye..Asanteni
 
Watu wengi wanamjua Mwakiembe wa magazetini na kwenye TV.

Mwakiembe ni bomu mno. Hata kwao kyela wamemkataa kwasababu ya usanii wake.
 
Jamaa haangalii ufanisi yeye anaangalia namna anavyoweza kuwafurahisha anaohisi ni watu wake,yaani eti wanapeana ulaji zamu kwa zamu🙂!!!!,,,

Yaani hii nchi imegeuzwa kikampuni cha familia kadhaa tu na wanaitafuna kweli kweli. Mwakyembe amerudisha imani na nchi majirani wanaotumia bandari yetu baada ya kukata tamaa kutokana na kuchukua muda mrefu kutoa mizigo yao na mingine kupotea hovyohovyo na makusanyo yalikuwa kidogo sana na Mwakyembe kayapandisha Kwa sana. Jamaa kaleta treni Dar na limesaidia wananchi wengi. Leo kweli unamtoa Mwakyembe wizara ile? Rais hauko na nia njema na hii nchi na watanzania wengi wanaoteseka Kwa umaskini ili hali kuna watu wachache wamejilimbikizia mali kiasi kwamba hata hawajuwi wazifanyie nini.
 
Watu wengi wanamjua Mwakiembe wa magazetini na kwenye TV.

Mwakiembe ni bomu mno. Hata kwao kyela wamemkataa kwasababu ya usanii wake.
Mungu akusamehe maana hujuwi unaloliongea dadangu
 
Mashauri,
Mwakiembe kapata wapi pesa bilioni
moja ya kununua kiwanja Bahari beach?

Ikulu wanajua kila kitu na deals zake bandarini ndio maana wamemtoa,

Hata yeye anajua kwanini katolewa.
 
mwakyembe lait km angekuwa waziri mkuu ingetosh sana lkn kule EAST .A nikumpoteza tu na madawa ya kulevya yaweze kupita vizuri airport
 
Hata mimi nimejaribu kuliangalia hili,nimeona kama kuna kupotezeana vile!!!!

Hivi umtoe Mwakyembe wizara ya uchukuzi halafu umlete msanii wa bongo muvi Sitta!!?


Huku si kuwatania watanzania!!?

Hapa umenena huyu msanii awezi kwendana na wazee wa Bandari, yeye huyu bado ana ndoto za kugombea Urais hivyo muda wa kufuatilia mambo kwa umakini hakuna, juzi watu wamefanya pati wanadai Mwakyembe aliwabana mno hata fedha za kutambia mitaani ilipotea kabisa
 
Jamaa haangalii ufanisi yeye anaangalia namna anavyoweza kuwafurahisha anaohisi ni watu wake,yaani eti wanapeana ulaji zamu kwa zamu🙂!!!!,,,

Kuna mtu mchangiaji amenifurahisha kidogo. Anadai siku jamaa atapoacha urahisi wake isherehekewe kitaifa. Mimi naongezea atafutiwe kiwanja lushoto harafu tumuuwekee geti pale mombo akae huko na fisadi mwenzie aliyemuacha astaafu salama pamoja na mabaya yote alotufanyia ya kuuza nchi.
 
Mashauri,
Mwakiembe kapata wapi pesa bilioni
moja ya kununua kiwanja Bahari beach?

Ikulu wanajua kila kitu na deals zake bandarini ndio maana wamemtoa,

Hata yeye anajua kwanini katolewa.

Hii ni mpya aisee?! Ni kweli haya? By the way ka deliver hata hivyo. Kuna wengine ni matapeli na wezi halafu na utendaji ni sifuri pia ni hasara juu ya hasara
 

Mbona Dr Shukuru kawambwa aliitwa mzigo...!! kamng'ang'ania?? msitudanganye bana....kiongozi dhaifu tunamjua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…