johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
JK alifanya uamuzi sahihi wa kuruhusu uboreshaji wa daftari kwa mfumo wa BVR. Kuna wakati Kinana na Nape walisema hicho siyo kipaumbele lakini ulisimama kidete.
Uboreshaji huu umeleta mwamko na hamasa mpya ya kisiasa Tanzania, hili ni jambo kubwa hakika tutakukumbuka!!
Umehuisha fikra za kisiasa kwa watanzania japo wahafidhina ndani ya chama hawakupenda,
HONGERA!!
Uboreshaji huu umeleta mwamko na hamasa mpya ya kisiasa Tanzania, hili ni jambo kubwa hakika tutakukumbuka!!
Umehuisha fikra za kisiasa kwa watanzania japo wahafidhina ndani ya chama hawakupenda,
HONGERA!!