Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
Nilikuwa napuuza maneno mengi ya wana JF humu humu ndani kuwa Mods wanafuta thread zinazomhusu kikwete..lakini kuna kamtego kamoja jamaa yangu alikaweka ili kudhibitisha madai haya kakafanikiwa! aliaanzisha thread kuhusu yule mke wa pili wa kikwete! thread iliitwa MAMA MDOGO! kiukweli ilidumu kwa muda wa masaa kadhaa tu! kabla ya jamaa kupigwa BAN mpaka january 9..mods futeni ile kauli mbiu pale juu! WHERE WE DARE TO TALK OPENLY! Mods waoga sana!!!!!!