pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Sawa
Siamini kama itakuja kutokea tena siku moja kuja kutawaliwa na Rais aina ya Magufuli!! Aisee Udikteta uusikie tu kwa wenzako!
Yaani ndani ya miaka michache tu ya utawala wake, alijigeuza kuwa Alfa na Omega! Mungu ni mwema sana. Ametupa funzo! Sidhani kama kuna mtu atakuja kuleta tena masihara kwenye uteuzi wa mgombea Urais!
Alisema ana uwezo wa kuongoza malaika....ngoja tutapata mrejeshoSiamini kama itakuja kutokea tena siku moja kuja kutawaliwa na Rais aina ya Magufuli!! Aisee Udikteta uusikie tu kwa wenzako!
Yaani ndani ya miaka michache tu ya utawala wake, alijigeuza kuwa Alfa na Omega! Mungu ni mwema sana. Ametupa funzo! Sidhani kama kuna mtu atakuja kuleta tena masihara kwenye uteuzi wa mgombea Urais!
Siamini kama itakuja kutokea tena siku moja kuja kutawaliwa na Rais aina ya Magufuli!! Aisee Udikteta uusikie tu kwa wenzako!
Yaani ndani ya miaka michache tu ya utawala wake, alijigeuza kuwa Alfa na Omega! Mungu ni mwema sana. Ametupa funzo! Sidhani kama kuna mtu atakuja kuleta tena masihara kwenye uteuzi wa mgombea Urais!
Ridhiwani tayari yupo kwenye Cabinet
Maccm usiyaamini. Yanaweza lete mwingine aina ya JIWESiamini kama itakuja kutokea tena siku moja kuja kutawaliwa na Rais aina ya Magufuli!! Aisee Udikteta uusikie tu kwa wenzako!
Yaani ndani ya miaka michache tu ya utawala wake, alijigeuza kuwa Alfa na Omega! Mungu ni mwema sana. Ametupa funzo! Sidhani kama kuna mtu atakuja kuleta tena masihara kwenye uteuzi wa mgombea Urais!