Kikwete: Tanganyika ina Rasilimali nyingi

Kikwete: Tanganyika ina Rasilimali nyingi

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,760
Tanganyika ina rasilimali ina gesi ina dhahabu ina mihogo ina mtama,mbaazi,ina ng'ombe ina mbuzi, ....asie na kitu kinyama mwitu,

Hayo hapo juu ni maneno ya Mheshimiwa Kikwete Raisi wa Tanzania ,hapo alikuwa akipiga dongo ,kama hujawahi kusikia mtu kupoteza mwelekeo wa anayosema basi msikilize Kikwete baada ya maneno hayo ni jinsi gani anavyoanza kubabaika na kusema mambo ambayo hakupaswa kusema ,mimi nilifikiria na kumuhofia kuwa anataka kuanguka ,kama utakumbuka mheshimiwa alipoishiwa nguvu na kuanguka jukwani wakati akihutubia ,maneno yake yalikuwa yanakwenda haraka haraka na hapa alikuwa kama ameanza dalili,ila alivuka salama ,ila alichokisema hakikufaa kusemwa na yeye kama Raisi ,

Baada ya kauli hiyo hakuzungumza kama Raisi wa Nchi bali alizungumza kama mkereketwa wa serikali mbili,mkereketwa wa CCM na zaidi aliposema watu wafanye uamuzi wa serikali wakati yeye hayupo ,alikusudia akishakufa au akishamaliza kuchukua chake mapema ,siku alipoanguka jukwaani nilitoka machozi lakini leo akianguka naweza kusema anastahili ,lakini mimi ni Muislamu Mwenyezi Mungu asinijaalie kufika kusema hayo.
 
Mungu aliyaumba madaraja lakini akasema kuwa mbora yuko katika kumuabudu yeye tu, hivyo ni suala la subira tu muumba huyohuyo kupitisha zamu!
 
Tanganyika ina rasilimali ina gesi ina dhahabu ina mihogo ina mtama,mbaazi,ina ng'ombe ina mbuzi, ....asie na kitu kinyama mwitu,

Hayo hapo juu ni maneno ya Mheshimiwa Kikwete Raisi wa Tanzania ,hapo alikuwa akipiga dongo ,kama hujawahi kusikia mtu kupoteza mwelekeo wa anayosema basi msikilize Kikwete baada ya maneno hayo ni jinsi gani anavyoanza kubabaika na kusema mambo ambayo hakupaswa kusema ,mimi nilifikiria na kumuhofia kuwa anataka kuanguka ,kama utakumbuka mheshimiwa alipoishiwa nguvu na kuanguka jukwani wakati akihutubia ,maneno yake yalikuwa yanakwenda haraka haraka na hapa alikuwa kama ameanza dalili,ila alivuka salama ,ila alichokisema hakikufaa kusemwa na yeye kama Raisi ,baada ya kauli hiyo hakuzungumza kama Raisi wa Nchi bali alizungumza kama mkereketwa wa serikali mbili,mkereketwa wa CCM na zaidi aliposema watu wafanye uamuzi wa serikali wakati yeye hayupo ,alikusudia akishakufa au akishamaliza kuchukua chake mapema ,siku alipoanguka jukwaani nilitoka machozi lakini leo akianguka naweza kusema anastahili ,lakini mimi ni Muislamu Mwenyezi Mungu asinijaalie kufika kusema hayo.



what the hell for the gardemn tread like this
 
Faida za kuvunja muungano.
1.mzigo wa misumari(znz)tutatua.
2.deni la taifa trl 30 zilizoliwa na wahuni zitakuwa batili.
3.mikataba feki ya kina chifu mangungo itaenda na tanzania.
4.laana ya kutumia jina bandia itatutoka.
 
naona pumba tu humu. nimejaribu kutafuta japo point moja siioni.

Tanganyika ina rasilimali ina gesi ina dhahabu ina mihogo ina mtama,mbaazi,ina ng'ombe ina mbuzi, ....asie na kitu kinyama mwitu,

Hayo hapo juu ni maneno ya Mheshimiwa Kikwete Raisi wa Tanzania ,hapo alikuwa akipiga dongo ,kama hujawahi kusikia mtu kupoteza mwelekeo wa anayosema basi msikilize Kikwete baada ya maneno hayo ni jinsi gani anavyoanza kubabaika na kusema mambo ambayo hakupaswa kusema ,mimi nilifikiria na kumuhofia kuwa anataka kuanguka ,kama utakumbuka mheshimiwa alipoishiwa nguvu na kuanguka jukwani wakati akihutubia ,maneno yake yalikuwa yanakwenda haraka haraka na hapa alikuwa kama ameanza dalili,ila alivuka salama ,ila alichokisema hakikufaa kusemwa na yeye kama Raisi ,baada ya kauli hiyo hakuzungumza kama Raisi wa Nchi bali alizungumza kama mkereketwa wa serikali mbili,mkereketwa wa CCM na zaidi aliposema watu wafanye uamuzi wa serikali wakati yeye hayupo ,alikusudia akishakufa au akishamaliza kuchukua chake mapema ,siku alipoanguka jukwaani nilitoka machozi lakini leo akianguka naweza kusema anastahili ,lakini mimi ni Muislamu Mwenyezi Mungu asinijaalie kufika kusema hayo.
 
kuna post nyingine huwa watu wanazipost wakiwa private rooms
 
Anasema hivi Faiza huwezi kuwa na akili ya kumuelewa mpaka utakapofika kipindi cha menopause!


Vipi mama'ko ndipo alipopata akili hapo? inaonesha una experience ya kutosha kwa kumsoma mama'ko vilivyo.
 
Tanganyika ina rasilimali ina gesi ina dhahabu ina mihogo ina mtama,mbaazi,ina ng'ombe ina mbuzi, ....asie na kitu kinyama mwitu,

Hayo hapo juu ni maneno ya Mheshimiwa Kikwete Raisi wa Tanzania ,hapo alikuwa akipiga dongo ,kama hujawahi kusikia mtu kupoteza mwelekeo wa anayosema basi msikilize Kikwete baada ya maneno hayo ni jinsi gani anavyoanza kubabaika na kusema mambo ambayo hakupaswa kusema ,mimi nilifikiria na kumuhofia kuwa anataka kuanguka ,kama utakumbuka mheshimiwa alipoishiwa nguvu na kuanguka jukwani wakati akihutubia ,maneno yake yalikuwa yanakwenda haraka haraka na hapa alikuwa kama ameanza dalili,ila alivuka salama ,ila alichokisema hakikufaa kusemwa na yeye kama Raisi ,baada ya kauli hiyo hakuzungumza kama Raisi wa Nchi bali alizungumza kama mkereketwa wa serikali mbili,mkereketwa wa CCM na zaidi aliposema watu wafanye uamuzi wa serikali wakati yeye hayupo ,alikusudia akishakufa au akishamaliza kuchukua chake mapema ,siku alipoanguka jukwaani nilitoka machozi lakini leo akianguka naweza kusema anastahili ,lakini mimi ni Muislamu Mwenyezi Mungu asinijaalie kufika kusema hayo.
Kikwete aliposema watu wafanye uamuzi wakati yeye hayupo alikuwa anamaanisha maamuzi ya kuvunja muungano ufanyike wakati yeye hayupo. Maana kipande kile alikuwa anaelezea kuvunjika kwa muungano
 
Back
Top Bottom