OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,241
- 103,917
Ndumilkuwili!
yule ni popo,na dawa ya popo ni kumpa kichapo mpaka aseme yupo kundi gani
Ndumilkuwili!
yule ni popo,na dawa ya popo ni kumpa kichapo mpaka aseme yupo kundi gani
Sishangai na aliyoyasema. Ni kawaida yake kusema maneno yanayoilenga hadhara inayomsikiliza.
JK akiwa London amesema maamuzi ya wananchi ndiyo yatakayoheshimiwa kwa sababu kama wananchi wataamua basi CCM wajiandae hizo serikali tatu.
Pia amesema alishawashauri CCM kwenye vikao vya ndani wajiandae kupokea hiyo serikali tatu kama wananchi wataamua.
Inaonekana CCM ni wabishi sana na JK alishaona serikali tatu hazikwepeki.
mi naona tusiwe na serikali hata moja
mkuu tutaishi vipi mkuu
JK akiwa London amesema maamuzi ya wananchi ndiyo yatakayoheshimiwa kwa sababu kama wananchi wataamua basi CCM wajiandae hizo serikali tatu.
Pia amesema alishawashauri CCM kwenye vikao vya ndani wajiandae kupokea hiyo serikali tatu kama wananchi wataamua.
Inaonekana CCM ni wabishi sana na JK alishaona serikali tatu hazikwepeki.
Inavyoonekana watu ama kwa kupotosha au kutojua wanachanganya issues.
Wakati anahutubia bunge la katiba aliweka bayana kwamba wenye wajibu juu ya muundo wa serikali upo kwa wabunge,
1. alichofanya Kikwete ni kutaadharisha juu ya uwezo wa serikali ya tatu bila kuwa na vyanzo vya kuaminika vya mapato yake.
Pale BBC alikuwa anajibu maswali ya waandishi wa habari, hivyo alichosema
2. pale ni kuwa IKIWA wananchi wataamua serikali tatu ,yeye atakuwa hana njia ye yote ya kuzuia, bali kutekeleza maamuzi ya wanachi. Sasa hapo undulumila kuwili wa Kikwete uko wapi.
Nakubaliana na wewe kwani kama juzi wapinzani wangekuwa wengi bungeni angeongea kivingine....mtu ambaye anashindwa kulinda msimamo wake kama ni kiongozi hakuna jina tunaweza kumuita zaidi ya mdhaifuSishangai na aliyoyasema. Ni kawaida yake kusema maneno yanayoilenga hadhara inayomsikiliza.
JK akiwa London amesema maamuzi ya wananchi ndiyo yatakayoheshimiwa kwa sababu kama wananchi wataamua basi CCM wajiandae hizo serikali tatu.
Pia amesema alishawashauri CCM kwenye vikao vya ndani wajiandae kupokea hiyo serikali tatu kama wananchi wataamua.
Inaonekana CCM ni wabishi sana na JK alishaona serikali tatu hazikwepeki.