MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,114
Wameanza kumruka JechaKwa hiyo ni Jecha peke yake.
Mwenyekiti wa CCM rais Mstaafu Jakaya Kikwete amesema hausiki na kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi mkuu Zanzibar October 28 mwaka jana.
Mwenyekiti wa ZEC Jecha Salimu Jecha alitangaza kufutwa kwa kwa matokeo ya uchaguzi uliofanyika October 25, akidai haukuwa huru na wa haki.
Tayari ZEC imeshatangaza kurudiwa kwa uchaguzi huo hapo machi 20 mwaka huu.
Sio zanzibar tu, jk amehusika kumuwezesha magu kufika ikulu
Huu ni ukweli mtupuNo hapo Nakukatalia, Magu alipenya Kimungu Mungu, JK alimtaka Mziwanda wake Membe, Na Kwa Kuwa wajumbe wengi wa NEC walimtaka Lowassa wakamwonyesha Kuwa wao ni Nani. Wakampiga chini Mtu wao Na Kisha wakamchagua JPM, Ukweli ni Kuwa Pamoja na Ghadhabu zote Lowassa alikuwa hajaamua aende Chadema, aliombwa. Angekuwa amepanga tangua awali angewaagiza watu wake wa Nec baada ya Kuenguliwa wamchague Mtu Dhaifu na sio JPM. Usimpe huyu Mnafiki sifa Bure, waliomchagua JPM ni watu wa Lowassa na hii ni Fact!
Umesahau safari za nje ya nchiUlisema Pia, Escrow ni Pesa za Umma.
Alisema Pia hakuamwagiza Lowassa Kushinikiza Richmond
Alisema Pia hajui aliyemteka Ulimboma
Alimpandisha Cheo Kamuhanda baada ya Kumuua Mwangosi
Alisema Pia Familia yake haihusiki na Kusaidia ukwepaji kodi.
Amebakia tu Kusema kuwa, hajawahi Kamwe Kuvaa sare yoyote ya Kijani, Huyu Jamaa sijawahi kuona mnafiki kama yeye. Magari ya Deraya 700 Nani aliyanunua na Kwa dhumuni gani? Oh am sory yalikuwa yamewekwa kwenye Budget tangu awamu ya tatu wewe ulitekeleza tu eh mkuu. so funny!
Teh teh teh teh tehkwani alietoka sauzi jion mbio mbio hadi zenji siku ya kufutwa matokeo alikuwa nan? Hakyanan we mzee mshirikiana sana
Yaa Na hizo, alitumia, "Fedha Kidogo! tu na zilikuwa na Manufaa makubwa kwa nchi"Umesahau safari za nje ya nchi
Itakuwa ni JechaHivo jwtz waliovamia bwawani na kuzui kutangazwa matokeo ni amri ya Mamunyange?
HahahahahaaaaaYaa Na hizo, alitumia, "Fedha Kidogo! tu na zilikuwa na Manufaa makubwa kwa nchi"
Usisahau Kikwete na MkapaAfrika anayewaunga Ma-Rais wa Afrika wajitoe ICC bora asingezaliwa.Mahali sahihi kwa Nkuruzinza,Museveni na Shein ni the Hague kule ICC hawana sifa za kuishi IKULU.Hata muungano wa EAC wa kisiasa kwa viongozi wetu hawa wa Afrika Mashariki hawana sifa za kuongoza EAC kiasiasa labda kwa mbali nchi ya Kenya inasifa walau kidogo.
Ni ukweli ambao hamtaki kuusikia JK ndio aliyemuambia JPM akachukue fomu Pombe mwenyewe akufikiria au na hii unaitaji tochi mkuu? Kwa nini asimuambie Membe? Kama CCM wakimtaka lowasa alipohama chama mbona hawakenda nae Ukawa?No hapo Nakukatalia, Magu alipenya Kimungu Mungu, JK alimtaka Mziwanda wake Membe, Na Kwa Kuwa wajumbe wengi wa NEC walimtaka Lowassa wakamwonyesha Kuwa wao ni Nani. Wakampiga chini Mtu wao Na Kisha wakamchagua JPM, Ukweli ni Kuwa Pamoja na Ghadhabu zote Lowassa alikuwa hajaamua aende Chadema, aliombwa. Angekuwa amepanga tangua awali angewaagiza watu wake wa Nec baada ya Kuenguliwa wamchague Mtu Dhaifu na sio JPM. Usimpe huyu Mnafiki sifa Bure, waliomchagua JPM ni watu wa Lowassa na hii ni Fact!