Eeh Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema, tunaomba uendelee tukutuongoza, maana huyu huku hana habari kabisa. Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu, Amen
Teh teh teh...nchi ishauzwa kwa wamarekani......ingefaa km kuna ulazima amuachie na makamu wa Rais hizo safari coz hatuoni role za VP...tunaona jinsi viongoz wa nchi mbalimbali wanavyowakilishwa na wasaidizi wao sasa huu uroho wa per-diem ni za nini kwa kiongozi mmoja kila kitu wewe sometime mdeligate na makamu wako ata kwa mambo magumu itafaa kwani itaondoa kinyongo na kazi zitafanywa kwa moyo mmoja otherwise utaachiwa zigo ukomaae nalo pekee....mcheza kwao utuzwa......Deligate wasaidizi wako mf VP,PM na mabalozi hii itajenga heshima kwako na kwao pia jifunze mgomo wa madaktari jinsi PM alivyodharirishwa as if ni sanamu.....Badilika bana kwani na umri nao umeenda so umeona mengi hakuna jipya usilolifahamu....inflation rate inatuua uku mikoani cement ndo usiseme as if hatuna viongozi
Au keshaanza kufikiria maisha baada ya Urais...ataishi vipi,na wapi!
Mwinyi,Dar...haya,Mkapa,kaogopa usumbufu na kero za mjini,solution...Lushoto, Kikwete,??.....
Shughuli zingine za kuwakilishwa na balozi tu, lakini mkulu anatia maguu mwenyewe, basi mama mwanaidi majaar, arudi home tu. Halafu raha ya kumtembelea mtu naye akutembelee, siyo kila siku wewe tu, wakikuchoka hawakwambii baba.