mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
- Thread starter
- #21
Huyu Hashimu mbita anafungua mjadala kwa kuwakaribisha wazee wote wa ccm ndani ya Dar na anasema
kunaujumbe watapewa kutoka kwa mkulu
kunaujumbe watapewa kutoka kwa mkulu
jamaani watanzania eti kikwete anaongea na wazee wa dar afu mzee alokaribiswa kutoa salamu anasalimia ccm hoyeeeee,,,aibu kinoma wakati anajitambulisha kua yeye ni makamu wa mwenyekiti wa wazee wa dar....mmmh ndo uchuro gani huu
Ndio, ni wa CCM according to Mbita... kwani wazee wote hapo ni ccm?
anaongea na wazee wa CCM wa darJamani hawa watu vipi? mbona wanaanza kwa kusalimiana kwa ccm oyeee....ccm oyeeee?
kwani wazee wote hapo ni ccm?
Wazee wamekula kijani na njano....si mashabiki wa yanga.....inaonekana wengi ni magamba
anaongea na vichwa maji wa ccm.Kwani anakutana na wazee wa DSM au na wazee wa CCM DSM?
Ni kweliNi Wazee wa CCM si wazee wa Dar, hapo hainitishi,