Watanzania ni wanafiki sana,mie siku zote huwa nawasikilizeni,mara oh,Kikwete ni kiongozi mzuri lakini anaangushwa na wasaidizi wake,oh,Kikwete hajui kinachoendelea,what a hell,hajui kinachoendelea?Who told you these shi.ts?This guy Kikwete is a puppet leader,huyu ni kibaraka tu,anajua kila deal chafu,tena tumuogope zaidi ya kiongozi yoyote yule nchini,he has two faces,anabadirika kama kinyonga,huku akiwachanganya na ka-smile kake na sauti ya kujiremba,to be honest Kikwete ndiye FISADI namba 1,coz mafisadi
akina Karamagi na RA ndio wamemfikisha hapo alipo,achaneni na longolongo ya 80%,who told you kuwa watanzania huwa wanachagua mtu,tanzanians do what ccm does,kama ccm wakisema leo NChimbi au Kingwendu au Bambo ndiye mgombea wao,they also gonna get 80% as Kikwete did.Kwa hiyo tusidanganyane kwamba tunaweza kumtisha JK kwa hiyo 80%,not at all,yeye anawaogopa wanamtandao tu ila the rest of us ni vinyamkera tu.Damn,yaani huyu jamaa ni mpuuzi kabisa badala ya kujibu shutuma,anaanza kutetea utumbo wa akina Warioba,my dear Tanzanians lets pray,the solution of our problems is on our hands.