Kikwete on Channel 10

Nilipoona mazungumzo ya rais kikwete alinikumbusha kitu kilichozungumzwa wakati wa uchaguzi kuwa tunaelekea watanzania kumpata ruksa mwingine.Mimi niliona theory nyingi sana na hizo theory akionekana kuziamini sana.

Niligundua kwamba alifaa sana kuwa mwalimu katika chuo cha diplomasia pale kurasini. Nafikiri labda mambo yote yaliyoongelewa anayajua sana na yote yana baraka zake.

Watu wakikwambia kuwa unafanya vizuri wakati wewe unaona mambo siyo mazuri/mategemeo yako sivyo hujui utakwama. Hutakiwi kuambiwa na watu jiangalie mwenyewe.
 

Huyu JK mwacheni aendelee na sanaa yake, kama alitoa # za simu na kudai apewe majina alitaka nini, cheap popularity? Watu wanampa fact analeta kauli za kukinzana, aseme basi tufute namba yake haina maana tena kwetu ikiwa anatubatiza jina la makachero, na ma pilato.

Hii inaudhi sana kuwa na pres km kinyonga. tushike lipi. Hata hayo aloongea chanel 10 ni blabla tu subirini mtaona
 
Watanzania ni wanafiki sana,mie siku zote huwa nawasikilizeni,mara oh,Kikwete ni kiongozi mzuri lakini anaangushwa na wasaidizi wake,oh,Kikwete hajui kinachoendelea,what a hell,hajui kinachoendelea?Who told you these shi.ts?This guy Kikwete is a puppet leader,huyu ni kibaraka tu,anajua kila deal chafu,tena tumuogope zaidi ya kiongozi yoyote yule nchini,he has two faces,anabadirika kama kinyonga,huku akiwachanganya na ka-smile kake na sauti ya kujiremba,to be honest Kikwete ndiye FISADI namba 1,coz mafisadi
akina Karamagi na RA ndio wamemfikisha hapo alipo,achaneni na longolongo ya 80%,who told you kuwa watanzania huwa wanachagua mtu,tanzanians do what ccm does,kama ccm wakisema leo NChimbi au Kingwendu au Bambo ndiye mgombea wao,they also gonna get 80% as Kikwete did.Kwa hiyo tusidanganyane kwamba tunaweza kumtisha JK kwa hiyo 80%,not at all,yeye anawaogopa wanamtandao tu ila the rest of us ni vinyamkera tu.Damn,yaani huyu jamaa ni mpuuzi kabisa badala ya kujibu shutuma,anaanza kutetea utumbo wa akina Warioba,my dear Tanzanians lets pray,the solution of our problems is on our hands.
 
ni msanii, he is never serious. He will give anything just to protect wanamtandao, what did you expect?
 
achaneni na longolongo ya 80%,who told you kuwa watanzania huwa wanachagua mtu,tanzanians do what ccm does,kama ccm wakisema leo NChimbi au Kingwendu au Bambo ndiye mgombea wao,they also gonna get 80% as Kikwete did..

Watanzania sio waliochagua kwa 80% bali ni mfumo kandamizi wa kisiasa na kiuchumi ambao umejengwa, kusadifiwa na sasa unalindwa kwa nguvu zote na kundi linalotambulika kwa ujumla wake kama CCM ndilo limehandisi na kutoa ushindi huo ambao tulithubutu kuita wa Tsunami na sasa ni wazi kuwa madhara yake yanashabihiana kabisa na hiyo Tsunami...na hii ni harufu tu ya maumivu yanayokuja mbeleni..

Swali linakuja, tunabadili vipi mfumo huo?

Kuendelea kusubiri matunda ya hiyo nia njema ya tuliyempa sifa ya uungwana? Tuendelee kupiga makelele nje ya nyumba kama wafanyavyo wenzetu wa uhgaibuni na walio katika asasi za kijamii wakidai kusubiri mazingira mwafaka kana kwamba responsibility ya kutengeneza hayo mazingira tuyaotao ni ya kina Zitto na wengine na sio wao tuliopo ughaibuni? Ama tuendelee kusubiri "kuvunjika" kwa CCM kama vile shule itokayo kwa jirani zetu wa Kenya (NARC na sasa PNU) haijatusaidia?

Tujiulize, tujiulize, tujiulize....

Tanzanianjema
 
 
Yes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…