Mufiyakicheko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 892
- 86
hii ni habali kamili sii tetesi walitangaza azarani kwa mbwembwe nyingi maandamano hadi sumbawanga nape akiwa msitali wa mbere kwa sasa wanakuja nakisingizi nek ikutane ? nek haikujuwa sk90 zinaisha lini? Kwanini wasingekutana kabura ya sk90 iliwatowe majibu kwa wakati muafaka usani mtupu narudia hii sii TETESI