MAGAMBA MATATU
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 646
- 1,225
Katika nchi yoyote ile Rais wa nchi lazima awe mkweli kwa kila anachokisema, hapa TZ imekuwa tofauti kabisa baada ya Rais Kikwete kuwadanganya Watanzania ndani ya chama chake tawala cha CCM na wakati akiwa ndiye mwenyekiti wa chama ambapo aliwaahidi watanzania na wanaCCM kuwa baada ya siku 90 mafisadi (magamba) yatakuwa yamevuliwa ndani ya CCM ili chama kiwe kisafi kama alivyodai.
Leo ni siku ya 89 na kesho ndiyo hitimisho la siku 90 na hakuna hata gamba lililong'oka<<<
Hiii ni aibu ya nani?
Ya wananchi?
Ya NNAPE?
Ya MKAMA?
Ya KIKWETE? au
Ya CCM kwa ujumla?
Leo ni siku ya 89 na kesho ndiyo hitimisho la siku 90 na hakuna hata gamba lililong'oka<<<
Hiii ni aibu ya nani?
Ya wananchi?
Ya NNAPE?
Ya MKAMA?
Ya KIKWETE? au
Ya CCM kwa ujumla?