Kikwete ni Masiha

...... Angekuwa SILAA, tungeambiwa yupo huko kaenda kupigana, huyu.... kaenda kutaliii.
 
...... Angekuwa SILAA, tungeambiwa yupo huko kaenda kupigana, huyu.... kaenda kutaliii.
Ni kweli kabisa. Slaa angeenda kupigana. Tumemsikia tangu bungeni hadi kwenye uwanja wa mapambano. Na hata akienda kwa kutalii si mbaya kwa kuwa tunajua atakayoacha nyuma si haba
 
Hakuna kiumbe kilichopo na kitakacho zaliwa na binadamu chenye kufanana na MASIHA, ONLY JESUS. Jina Lipitalo Majina YOTE
 
Hakuna kiumbe kilichopo na kitakacho zaliwa na binadamu chenye kufanana na MASIHA, ONLY JESUS. Jina Lipitalo Majina YOTE

This is Disgrace,how can some one compare Jesus Christ with a man???????
It is blasphemy!!!!!!
 
Soma tena vizuri ndugu. Mi sio mfuasi wa CCM wala JK bali kwa wana wa fasihi hiyo tunaita irony. Ila ukweli ndio huo kuwa kwa kupitia udhaifu wake sauti ya umma itafanya kazi. Hilo ndilo wazo langu kuu

Hata Mhubiri Mkubwa TZ Moses Kulola 2005: alisema JK ni chaguo la MUNGU. Ni kweli mkuu acha wabishe maana hawajui walisemalo
 

Mkuu katika miaka 10 kabakiza mitatu tu.. Sasa unataka tumpatie muda gani zaidi ili aturekebishie maisha yetu..? Mshauri basi abadilishe katiba agombee muhula wa tatu ili apate miaka 5 mingine..
 
Mkuu katika miaka 10 kabakiza mitatu tu.. Sasa unataka tumpatie muda gani zaidi ili aturekebishie maisha yetu..? Mshauri basi abadilishe katiba agombee muhula wa tatu ili apate miaka 5 mingine..

ni kweli kabisa huyo jamaa kaandika vizuri BILA KIKWETE CHADEMA INGEPATA NGUVU!! CUF ILIKUW ANA NGUVU KULIKO CHADEMA LAKINI JK KAIRAHIHISHIA CHADEMA JAMANI TUKUBALI KUWA UKOMBOZI UKITOKEA NI KWA JILI YA JK HILO HALINA UBISHI THINK BEFORE KUKTAA KUWA SI KWELI! JK ADUMU ADUMU ZAIDI ILI MABADILIKO YA KUIOKOA NCHI YETU YATIMIE ANATAKA TUBADILI MIKATABA YA MADINI LAKINI SI KUPITIA CCM BALI CHAMA PINZANI NA HILO NI LENGO LAKE!
 
Sijapenda uchambuzi wako wa kumfaninisha yesu na jk na usirudie kamwe.

Lakini na kubali kuwa jk ndio amekuwa matundu ya kupitia hasa kuelekea kwenye ukombozi wa nchi yetu, maana ata tetemeko hupitia sehemu dhaifu.

Nasikweli jk alitegemea haya bali alijitega na kujichanganya,najua nyinyiemu wanajuta kumpitisha huyu jamaa wako,kwani yeye ndio amekizika chama.
 

Kweli ni chombo cha kutufikisha hapo. Lakini amini usiamini kuwa ili uwe Masiah ni lazima ujitambue kuwa unatumika kwa ajili ya watu kwa niaba ya Mungu. Umesema kuwa inawezekana anajua au hajui. Mimi nakuhakikishia kuwa hajui! Na kama hajui ameshapoteza sifa ya kuwa Masiah. Kilichopo ni kwamba ameshindwa, hata kama anatamani kufanya mambo yaende kama anavyotaka hawezi tena. Tusubiri tuone wapi tutafika lakini sio kwa sababu yeye ametupeleke tufike huko. Asije kujisifia kuwa hapo tutakapofika kama ni pazuri basi yeye ndiye akiyesababisha tufike hapo. La, ni kwa sababu ya jitihada za makusudi zinazoendelezwa na wanaoshiuhudia kushindwa kwake. Ili awe sehemu ya wanaweza kujisifia ni lazima sasa hivi aonyeshe mwelekeo kuwa anataka kufika mahali fulani lakini sio kupitia SLOGAN ya maisha bora kwa kila mtanzania. Huo sio mwelekeo au target, bali ni wimbo wa kisiasa ambao yeyote anaimba hata kama hana sifa za unabii au umasiah.
 
 
tutamkumbuka jk tusubiri tutaona. Ana nia ya kweli ila kuna watu kwa makusudi wanajifanya hawaoni. Ni kama WAGALATIA alowashangaa mtume paulo ni nani aliyewaroga

Yeaaaaah, masiha ya bagamaoyo hii
 
Hakuna kiumbe kilichopo na kitakacho zaliwa na binadamu chenye kufanana na MASIHA, ONLY JESUS. Jina Lipitalo Majina YOTE
Let us learn how to understand "logics"
 
Kwahiyo ndo anafuata baada ya yule wa mwisho kutumwa?
 

Mkuu naomba niulize swali tena unamaanisha masiha au masihi,?au tukinukuu kwa lugha ya wenzetu messiah,naogopa kuchangia nisije nikakufuru,kama ulikuwa una manna ya mojawapo nilizozitaja muombe MUNGU wako akupishie mbali na kufuru uliyosema,
Kikwete ni binadamu kama wewe tena mchemkaji hata kuzidi wewe ulivyochemka kwa kuandika kufuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…