Kikwete na TV

Kikwete na TV

Jile79

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2009
Posts
17,668
Reaction score
13,271
Rais anajua adha wanayopata watz ndio maana hana hamu ya kukutana nao uso kwa uso kwani anajua kinachoweza kutokea......alishapata experience mbeya pale msafara wake ulipopolewa mawe.Hawezi tena akawatuma mawaziri kufanya ziara kwani anajua jinsi walivyo zomewa na kukataliwa.Nchi yetu ni masikini sana.....inaniuma sana pale rais wa nchi masikini kama yetu mh.jk anasikiliza matatizo ya watz na kuyatolea majibu kwenye tv.Siamini kuwa rais anaweza kutatua matatizo ya watu wake kupitia kwenye tv.
''It's all about jk's popularity resume and nothing else''
 
Jamani mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Mh Rais pamoja na PM wamejitahidi sana kutembelea maeneo mengi ya Tanzania, tena ziara ndefu na kupita maeneo ambayo hata viongozi wengine huko nyuma hawajawahi kufika. wamekuwa wakizungumza na wananchi na kupokea malalamiko mbalimbali.
labda tumlaumu kwenye upande wa utekelezaji lakini si hili la kuonana na wananchi
 
huyu kikwete ameenda huko ili kuonyesha anajali mambo ya wananchi,lakini mbona hakufanya hii mijadala mpaka wakati wa uchaguzi umefika?watz amkeni kimawazo sio kupiga mbiu tu!!!!!!kwani hata mtu mmoja hakumwuuliza, je lengo la ufumbuzi wa matatizo yawatanzania ni lipi? bila kuja lengo la ufumbuzi huwezi kufumbua.simple but very complex.
 
Back
Top Bottom