Kikwete na Teknolojia ya Teleprompter

Kikwete na Teknolojia ya Teleprompter

Wadau naomba kufahamu Mkulu wa Nchi anatumia kifaa gani kusoma hotuba yake hapa Bungeni, au ndio kameza maana naona kama hasomi popote pale....

Naombaa kujuzwa wanaTeknolojia.

Kuna kifaa kinaitwa teleprompter ,huwa kinadispkay maneno ukiangalia kwa pembeni unaona kama kuna screen flan hv,viongozi wwngi huwa wanatumia hyo system
 
th
 
Inaitwa Teleprompter kama alivyosema mdau hapo juu. January Makamba aliongelea ilivyoanzankutumika Ikulu yetu hapa

Ahsante sana Mkuu....... sijawahi jutia kuwa MwanaJf tangu napitia kwa kuibia kwa mzee wangu enzi hizo wenyewe mwajiita Jamboforum

Ahsanteni sana .
 
Shida ni pale teleprompter ikikorofisha , kama ilivyomtokeaga raisi Obama !!!
 
Shida ni pale teleprompter ikikorofisha , kama ilivyomtokeaga raisi Obama !!!

conman bado haina shida kabisa hata kama Teleprompter inapokorofisha, kwa kuwa huwa na Hard copy pale pale kwenye stand ya jukwaa anapokuwa mhusika ana hutubia, kama ukiangalia vizuri utaona kuna makaratasi ya hotuba anakuwa nayo ameyashiria mhutubiaji.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo tisa kumi zaidi ya masaa 2 upowima hata maji! hatakama anasoma jamaa sikama kina MUNGUMTU DJ
 
Anasoma kwenye vifaa vinaitwa 'teleprompter'
A teleprompter is a display device that prompts the person speaking with an electronic visual text of a speech or script.

Da nilikiona hcho kidude jana ila ckuelewa...du thnxx sana mkuu kunifungua majicho
 
Back
Top Bottom