Kikwete na Lowassa wanafanana sana!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Raisi mstaafu Kikwete na Waziri Mkuu wake wa kwanza Lowasa aliyoendolewa kwa kashfa ya wizi wa mali zetu wanafanana sana, labda kuna sababu kwa nini walikuwa marafiki wakubwa!

Ninaposema wanafanana namaanisha kitabia, ukiangalia mambo ya Kikwete na Lowasa yanashabiana sana, wote ni wapenda sifa, wote wanapenda sana kuwa juu wakati wote yaani ni narzissts, wote wanapenda kuonekana kwamba wao ndiyo watu muhimu TZ na kwamba TZ haiwezi kuishi bila ya wao utafikiri Historia ya TZ imeanzia na wao!

Angalia kwa mfano Raisi mstaafu Kikwete haijawahi kutokea ukiondoa labda Nyerere sina uhakika hapa Raisi mstaafu akawa yuko kila mahali kama Raisi mstaafu Kikwete, haupiti mwezi unamsikia mahali, mara kajibu hili, mara kasema lile, utasikia katetea kile nakumbuka wakati Raisi Mwinyi anamkabdhi Raisi Mkapa basi mzee Mwinyi sikumsika tena na ilikuwa ni nadra sana kumsikia vivyo Mkapa alivyomkabidhi Kikwete alitoweka!

Ukija upande wa Lowasa ni vivyo hivyo ingawaje hana cheo chochote kile Upinzani au chadema lkn yeye ndiyo muhimu klk wote na kila afanyalo anataka Dunia nzima ijue, Bunge likianza anaenda Dodoma ni lazima itangazwe hata kama hana cha kufanya huko basi tu ili mradi aonekane yeye ndiye Boss wa chadema, akiwa njiani akasimama kujisaidia lazima apigwe picha tuonyeshwe, haya hivi majuzi kamuibua Balozi wa Ujapani akapigwa picha tukaonyeshwa, rejea alivyotuambia kwamba amepewa tuzo zaidi ya 1000 kwa kazi yake lkn mpaka leo hii sijawahi kumuona akipokea hata tuzo moja, anakwenda mbali zaidi na kutangaza kwamba Amani yetu TanZania yeye ndiye ameishika yaani tafsiri yake ni kwamba nchi yetu yenye miaka zaidi ya 50 tunaishi kwa Amani kwa sababu ya Lowasa na akiamua kesho basi tutaanza kuchinjana kama kuku ni mtu mwenye matatizo tu ya akili ndiyo anaweza kuwa na fikra kama hizi Wazungu wanawaita ,,psychopath"!

Na mambo mengine mengi ambayo yananifanya niulize hawa watu waliachania wapi? Mbona wanafanana sana? Na chini ya hawa watu nchi yetu ilikuwa ,,on Highway to Hell" kama wimbo mmoja usemavyo!


c4.jpg

 
Raisi mstaafu Kikwete na Waziri Mkuu wake wa kwanza Lowasa aliyoendolewa kwa kashfa ya wizi wa mali zetu wanafanana sana, labda kuna sababu kwa nini walikuwa marafiki wakubwa!

Ninaposema wanafanana namaanisha kitabia, ukiangalia mambo ya Kikwete na Lowasa yanashabiana sana, wote ni wapenda sifa, wote wanapenda sana kuwa juu wakati wote yaani ni narzissts, wote wanapenda kuonekana kwamba wao ndiyo watu muhimu TZ na kwamba TZ haiwezi kuishi bila ya wao utafikiri Historia ya TZ imeanzia na wao!

Angalia kwa mfano Raisi mstaafu Kikwete haijawahi kutokea ukiondoa labda Nyerere sina uhakika hapa Raisi mstaafu akawa yuko kila mahali kama Raisi mstaafu Kikwete, haupiti mwezi unamsikia mahali, mara kajibu hili mara kasema lile mara katetea kile nakumbuka wakati Raisi Mwinyi anamkabdhi Raisi Mkapa basi mzee Mwinyi sikumsika tena na ilikuwa ni nadra sana kumsikia vivyo Mkapa alivyomkabidhi Kikwete alitoweka!

Ukija upande wa Lowasa ni vivyo hivyo ingawaje hana cheo chochote kile Upinzani au chadema lkn yeye ndiyo muhimu klk wote na kila afanyalo anataka Dunia nzima ijue, Bunge likianza anaenda Dodoma ni lazima itangazwe hata kama hana cha kufanya huko basi tu ili mradi aonekane yeye ndiye Boss wa chadema, akiwa njiani akasimama kujisaidia lazima apigwe picha tuonyeshwe, haya hivi majuzi kamuibua Balozi wa Ujapani akapigwa picha tukaonyeshwa, rejea alivyotuambia kwamba amepewa tuzo zaidi ya 1000 kwa kazi yake lkn mpaka leo hii sijawahi kumuona akipokea hata tuzo moja, anakwenda mbali zaidi na kutangaza kwamba Amani yetu TanZania yeye ndiye ameishika yaani tafsiri yake ni kwamba nchi yetu yenye miaka zaidi ya 50 tunaishi kwa Amani kwa sababu ya Lowasa na akiamua kesho basi tutaanza kuchinjana kama kuku ni mtu mwenye matatizo tu ya akili ndiyo anaweza kuwa na fikra kama hizi Wazungu wanawaita ,,psychopath"!

Na mambo mengine mengi ambayo yananifanya niulize hawa watu waliachania wapi? Mbona wanafanana sana? Na chini ya hawa watu nchi yetu ilikuwa on Highway to Hell kama wimbo mmoja usemavyo!
Kheee
 
Huyu mleta uzi atakuwa kanywa uji wa malimao peke yake asubuhi asubuhi..
 
Kweli wanafanana mmoja aliishi ikulu mwingine anataka kwenda ikulu hata akitembelea mkongojo ili mradi akomboe goli ngoma iwe droo,safii hawakukutana barabarani!
 
Lengo lake likikuwa ni kumtaja Lowasa tu. Hivyo kaamua kumuingiza na Kikwete hapa ili hoja yake ionekane ina mantiki lakini wapi...!!

Haya tumekusikia.. karibu huku sisi tunajadili wanafunzi waliofukuzwa UDOM
 
UMEMTUKANA LOWASSA weeeeee....

Sasa JK katoka urais, ULIKUWA UNAMSIFIA SANA SANA... Sasa umeshaanza kumtukana na JK...!! Utaanza kumtukana JK weeeee kama ufanyavyo kwa Lowassa...!!

Soon, UTAANZA KUMTUKANA BABA YAKO, wakati laana inakumalizia UTAANZA KUMTUKANA MAMA YAKO MATUSI YA NGUONI NA UCHI WAKE ALIOKUZAA NAO...!! Mmaninaaa weee, hujapigwa na huna adabu, ma.vi ya kuku wee...!! utakufa soon kwa laana...!! Hujapigwa, huna adabu, shit..!!!

Simtetei JK, but have displine, wala mm sio mshabiki wa JK, but kama walishaharibu waache wajifie huko, WW KAA MBALI, KARMA will pay them back...!! Unawatukana hao wazee ya nn..? JPM nae akimaliza muda wake UTAANZA KUMTUKANA...!! Hujapigwa wee..!!

Huna adabu wee...!!
 
Back
Top Bottom