Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Jamani tukubali, enzi zile wote tulikuwa tunaimba hata mtu hatumjui. Pundit huyo dissident wako alimshtukia Mwinyi mwaka 1985?
Mchungaji na wewe uliimba?
Tunaiamani na Nyerere hoya hoya hoya, tuna imani naye Jumbe hoya hoya hoya,
Usipowajibika ole wako utakumbwa na fagio la chuma...
Tumeziimba sana!